spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Bila ya sisi madalali dunia haitalkalika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mawinga ni wezi sana 🙌🏻🙌🏻🙌🏻Bila ya sisi madalali dunia haitalkalika
Degree bora kuliko zote ni pesa, hizo nyingine zote ni ngonjera tu.1. Medicine & Surgery.
2. Computer Science & IT –
3. Law
4. Engineering (Mechanical, biomedical, Electrical, etc.)
5. Education.
Ongezea za kwako!
Kuna degree ya pesa au umeshakunywa chai🤔Degree bora kuliko zote ni pesa, hizo nyingine zote ni ngonjera tu.
ubongo sio bora kuliko moyo na moyo sio bora kuliko ini.....vilivile ivyo viungo sio bora kuliko uume au uke......kila kiungo kithaminiwe hakuna degree ya muhim kupita nyingne1. Medicine & Surgery.
2. Computer Science & IT –
3. Law
4. Engineering (Mechanical, biomedical, Electrical, etc.)
5. Education.
Ongezea za kwako!
Waziri mkuu anasema wakitoka chuo waingie veta,1. Medicine & Surgery.
2. Computer Science & IT –
3. Law
4. Engineering (Mechanical, biomedical, Electrical, etc.)
5. Education.
Ongezea za kwako!
😂 Mechanical wote waende garage waanze kwa kutumwa spareWaziri mkuu anasema wakitoka chuo waingie veta,
Sasa si Bora wangeenda veta Moja kwa moja
Uchumi hauendeshwi na wahasibu, uhasibu ni kazi ya kina mama kama kushona nguo.Wanasimamia uchumi wa Dunia nakubali ila kwenye top 5 hatuwezi kuwaweka mkuu
Hujui uandikacho1. Medicine & Surgery.
2. Computer Science & IT –
3. Law
4. Engineering (Mechanical, biomedical, Electrical, etc.)
5. Education.
Ongezea za kwako!
Low IQ experts on JFHujui uandikacho
Indeed you are an expert in stupidity and nonsense globallyLow IQ experts on JF
LmaoIndeed you are an expert in stupidity and nonsense globally
Hujui uhasibu ni nini ndo maana unasema hivyoUchumi hauendeshwi na wahasibu, uhasibu ni kazi ya kina mama kama kushona nguo.
Kumradhi!
Kila taaluma ina umuhimu wakeHujui uhasibu ni nini ndo maana unasema hivyo
Assets na liabilities hamna Cha maana zaidi ya profit after tax!Hujui uhasibu ni nini ndo maana unasema hivyo
Huna unachojua kiongoziAssets na liabilities hamna Cha maana zaidi ya profit after tax!
Weka unachokiona Cha maana mkuu,!Huna unachojua kiongozi
Itakua hausiki kabisa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yeye angekuwa ndo wa kwanza kuonesha mfano kama Rashidi Kawawa ( RIP) alipoelekeza wasomi kwenda JKT. Au huyu mwamba hahusiki?
Unajichanganya kijana uhasibu una mambo mengi labda kama ulikosoma mliishia kwenye financial statements. Pia hicho unachodhani ni uhasibu sio bali ni kipengele ndani ya uhasibu kinachoitwa book keepingWeka unachokiona Cha maana mkuu,!
Uhasibu ni kazi kama kushona nguo hamna kitu kigumu utaniambia kkujua COGS inakuhitaji kukaa kwenye kimbweta miaka mitatu?