Iyerdoy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,755
- 1,939
Hata mimi nimedhani ndo hivyo itakuwa. Ni akheri awaache na maumivu waliyo nayo kwani yameshakuwa mzigo mzito au afanye juhudi za kuwapunguzia maumivu kuliko kuwaongezea tena mengine.Itakua hausiki kabisa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app