Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
- Thread starter
- #61
Mwanasheria ni mtu aliyebobea katika masuala ya sheria na hutoa ushauri wa kisheria, kutetea wateja mahakamani, na kuhakikisha haki inatendeka kulingana na sheria za nchi pia kutoa suluhisho katika utofauti fulani wa watu.Mwanasheria ni nani kwanza?