Nkaburu
JF-Expert Member
- Mar 23, 2023
- 1,638
- 1,961
Kwanini zipewe heshima?1. Medicine & Surgery.
2. Computer Science & IT –
3. Law
4. Engineering (Mechanical, biomedical, Electrical, etc.)
5. Education.
Ongezea za kwako!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini zipewe heshima?1. Medicine & Surgery.
2. Computer Science & IT –
3. Law
4. Engineering (Mechanical, biomedical, Electrical, etc.)
5. Education.
Ongezea za kwako!
Hujafafanua 1. umeangalia kigezo gani kwenye huo ubora, 2. is it world wide ama kwa Tanzania?? 3. kinachofanya law, Medicine na Computer Science kuwa above Engineering ni kipi?1. Medicine & Surgery.
2. Computer Science & IT –
3. Law
4. Engineering (Mechanical, biomedical, Electrical, etc.)
5. Education.
Ongezea za kwako!
Unaichukulia aje medicine na computer science mkuu?Hujafafanua 1. umeangalia kigezo gani kwenye huo ubora, 2. is it world wide ama kwa Tanzania?? 3. kinachofanya law, Medicine na Computer Science kuwa above Engineering ni kipi?
Unatumia computer! Who transformed the physics of solid states to the working computer? Who builds hizo vifaa vinafanyia analysis? Engineers are working day and night kuitransform hii dunia into the shape unaiona saivi. Engineers are responsible for every step tunamake kwa haya maisha, eti kabisa unauthubutu wa kuweka CS above Engineering wewe!!!! Na fact yako ilikuwa kuweza kusurviveUnaichukulia aje medicine na computer science mkuu?
Uhasibu Ni kazi fulani ya Ujanja Ujanja tu logistics kibaoKama uhasibu haupo hapo ni ubatili mtupu
Veta ndo mchongo mzima.1. Medicine & Surgery.
2. Computer Science & IT –
3. Law
4. Engineering (Mechanical, biomedical, Electrical, etc.)
5. Education.
Ongezea za kwako!
Lakini inafanyika na kila mtu kuanzia book keeping, ukaguzi na mambo mengine yote!Uhasibu Ni kazi fulani ya Ujanja Ujanja tu logistics kibao
Computer Science "The Brain Behind Everything"Unatumia computer! Who transformed the physics of solid states to the working computer? Who builds hizo vifaa vinafanyia analysis? Engineers are working day and night kuitransform hii dunia into the shape unaiona saivi. Engineers are responsible for every step tunamake kwa haya maisha, eti kabisa unauthubutu wa kuweka CS above Engineering wewe!!!! Na fact yako ilikuwa kuweza kusurvive
Ukweli ni kwamba leo Computer Science inashika kasi sana na inaathiri kila sekta ila haimaanishi kuwa Engineering haina thamani. Tunahitaji zote mbili ili kuendelea kuleta mabadiliko duniani but computer science stays at the top.Kama fact yako ilibase na taaluma ambazo hatuwezi kusurvive bila hizo
Basi
1. Engineering
2. Medicine
Ndo zifate vitu vyengine
Sielewi hata Law ilikuwa inafanya nini top 3
1. Medicine 2. Computer Science 3. EngineeringKama fact yako ilibase na taaluma ambazo hatuwezi kusurvive bila hizo
Basi
1. Engineering
2. Medicine
Ndo zifate vitu vyengine
Sielewi hata Law ilikuwa inafanya nini top 3
futa sheria af dunia na watu wake waishi wanavyotaka apo nd utamwelewa mleta mada. Kaweka fields ambzo ni useful in daily life meaning kutokuwepo kwake kutabadilisha mtazamo wote wa dunia. Bila sheria hata vita za dunia zisingeisha, bila doctors watu wangekufa hovyo kwahy hzo n lazma ziwepo. Hao wachumi so lazma watu wanaweza ishi ata kwa kubadilishana bidhaa kwa bidhaa nd mana haijawekwa top 5Afrika ya Kusini walikuwa na sheria ya ubaguzi wa rangi.
Ilikuwa ni sheria ya nchi, lakini haikuwa haki.
Marekani walikuwa na sheria za utumwa na ubaguzi wa rangi.
Zilikuwa sheria za nchi, lakini hazikuwa haki.
Unaweza kuwa na sheria ukawa huna haki.
Unaweza kuwa na haki bila ya sheria.
Huelewi wapi?
Wakuu-Wadau wote mlioko hapa jamvini; itoshe tu kusema FANI ZOTE zilizotajwa hapo juu 👆 👆 na zile ambazo hazikutajwa (labda kutokana na muda na nafasi kuwa sio rafiki e.g. Polisi n.k.) ikiwa ni pamoja na zile zisizo rasmi i.e. hazinaga vyeti e.g. maafisa Usafirishaji, mama lishe, Dada poa, waganga (Sangoma) n.k. zote ni muhimu sana kwa wakati wake na mahali pake stahiki. Tena nawashauri tusichukulie eti ugumu (complexity) ya Fani kuwa ndo kiashiria cha Umuhimu wa fani husika. HAPANA. Umuhimu wa Fani ni pale inapoweza kutatua au kutoa suluhisho kwa changamoto zinazomkabili mwanadamu kwa muda muafaka.1. Medicine & Surgery.
2. Computer Science & IT –
3. Law
4. Engineering (Mechanical, biomedical, Electrical, etc.)
5. Education.
Ongezea za kwako!
Ahsante umenisaidia gran pah, nilitaka niitaje hii.Kwahiyo sisi tunaowajengea Barabara, Maghorofa yenu mnayokaa, SGR, Mabwawa ya Umeme, Viwanja vya Ndege, Tunaowapatia Maji kwenye majumba yenu hata kama ya mgawo n.k
Hiyo inaitwa Civil Engineering
Ndiyo fani kongwe zaidi ya Uhandisi Duniani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawa wote kwa VETA ni takataka nanukuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Law is overrated. It doesn't even need a lab and can be changed by ignorant MPs [emoji23][emoji23][emoji23].