Degree holder nimerudi kusoma VETA, hivi vyeti ni kupiga mikasi

Degree holder nimerudi kusoma VETA, hivi vyeti ni kupiga mikasi

HOTEL MANAGEMENT
[emoji23][emoji23] Wewe sii umesoma hako ka kozi ka upuuzi hapo ardhi
Mimi sio level zako kabisa sema ajira tu zimekuwa ngumu
Screenshot_20210505-133113_Messages.jpg
 
Kwanza nianze kwa kumuombea dua kwa mwenyezi mungu Raisi wetu mstaafu, Dr. Jakaya Kikwete, Mungu amlinde na kumpatia maisha marefu yenye furaha hapa Duniani.

Sijui mzee wetu kikwete uliwezaje, maana ajira za kumwaga ulizokuwa ukitoa miaka 6 kurudi nyuma kwa kaka na Dada zetu leo kwa namna moja ama nyingine zimekuwa zikitusaidia na sisi majobless, leo unaweza kosa hata buku ya kula ukasaidiwa hata na ndugu ambae anakazi ya uhakika. Mungu akubariki sana muheshimiwa.

Wakati nikiwa advance shule yetu ilikuwa imepakana na chuo cha VETA, nilikuwa naona wale jamaa wamepotea njia kama sio kushindwa maisha. Kumbe bila kujua mimi ndio nilikuwa nimeenda kombo ya kiwango cha lami.

Najuta kupoteza muda, najuta kupoteza fedha ,najuta kutolitambua hili mapema, leo ninaishi kama nungunungu nisijue kesho yangu itakuwaje.

Ila mtafutaji hachoki, nimetuma maombi veta, nianze tena moja kusomea umeme wa magari. Mama Samia Hassan, nitoe pongezi kwako kwa kutufutia ile Value Retention Fee maana ilikuwa pigo kubwa kwa sisi majobless mungu akubariki sana mama.

Leo nimeamini cheti hakinunui bidhaa wala kulipa bili

Samahani mkuu ulisoma kozi gani awali?
 
Hongera sana jamaa,kuwa na degree isiwe kifungo,bali Elimu ya juu itufungue vichwa kuangalia fulsa,kuna ubaya gani,Muhandisi wa umeme,nimekosa kazi,nikaamua kusogea VETA pale nikasome ufundi wa kutengeneza madirisha ya aluminium na magril,nijifunze pia ufundi CM,na upigaji picha,
Ebu fikiria nikifungua kijiwe changu,napiga umeme,natengeneza madirisha,natengeneza CM,vile vile hata tender za picha nafanya,harafu mkobani nina driving licence,VIP,utanieleza nini?
 
Kwanza nianze kwa kumuombea dua kwa mwenyezi mungu Raisi wetu mstaafu, Dr. Jakaya Kikwete, Mungu amlinde na kumpatia maisha marefu yenye furaha hapa Duniani.

Sijui mzee wetu kikwete uliwezaje, maana ajira za kumwaga ulizokuwa ukitoa miaka 6 kurudi nyuma kwa kaka na Dada zetu leo kwa namna moja ama nyingine zimekuwa zikitusaidia na sisi majobless, leo unaweza kosa hata buku ya kula ukasaidiwa hata na ndugu ambae anakazi ya uhakika. Mungu akubariki sana muheshimiwa.

Wakati nikiwa advance shule yetu ilikuwa imepakana na chuo cha VETA, nilikuwa naona wale jamaa wamepotea njia kama sio kushindwa maisha. Kumbe bila kujua mimi ndio nilikuwa nimeenda kombo ya kiwango cha lami.

Najuta kupoteza muda, najuta kupoteza fedha ,najuta kutolitambua hili mapema, leo ninaishi kama nungunungu nisijue kesho yangu itakuwaje.

Ila mtafutaji hachoki, nimetuma maombi veta, nianze tena moja kusomea umeme wa magari. Mama Samia Hassan, nitoe pongezi kwako kwa kutufutia ile Value Retention Fee maana ilikuwa pigo kubwa kwa sisi majobless mungu akubariki sana mama.

Leo nimeamini cheti hakinunui bidhaa wala kulipa bili

I wish ningekupa ushauri ila kuna vitu hujaviweka wazi.

Sijajua huko veta ada utalipa sh. ngapi na itakuchukua muda gani. Ila kila mtu sasa hivi anakimbilia huko.
 
Kwanza nianze kwa kumuombea dua kwa mwenyezi mungu Raisi wetu mstaafu, Dr. Jakaya Kikwete, Mungu amlinde na kumpatia maisha marefu yenye furaha hapa Duniani.

Sijui mzee wetu kikwete uliwezaje, maana ajira za kumwaga ulizokuwa ukitoa miaka 6 kurudi nyuma kwa kaka na Dada zetu leo kwa namna moja ama nyingine zimekuwa zikitusaidia na sisi majobless, leo unaweza kosa hata buku ya kula ukasaidiwa hata na ndugu ambae anakazi ya uhakika. Mungu akubariki sana muheshimiwa.

Wakati nikiwa advance shule yetu ilikuwa imepakana na chuo cha VETA, nilikuwa naona wale jamaa wamepotea njia kama sio kushindwa maisha. Kumbe bila kujua mimi ndio nilikuwa nimeenda kombo ya kiwango cha lami.

Najuta kupoteza muda, najuta kupoteza fedha ,najuta kutolitambua hili mapema, leo ninaishi kama nungunungu nisijue kesho yangu itakuwaje.

Ila mtafutaji hachoki, nimetuma maombi veta, nianze tena moja kusomea umeme wa magari. Mama Samia Hassan, nitoe pongezi kwako kwa kutufutia ile Value Retention Fee maana ilikuwa pigo kubwa kwa sisi majobless mungu akubariki sana mama.

Leo nimeamini cheti hakinunui bidhaa wala kulipa bili

BA Archaeology lazima utaabike
 
Kaka nakuunga mkono nenda kasome fani upate ujuzi ,kuna fani ukisoma chuo mtaan huwezi ipata

Mie nimepata degree baada ya miaka sita ndo nikapata kazi ..lakini mtaani nilitunia degree yangu kuishi kwa kufanya nilichosemea ila ni ngumu sana kwa wengi kutokana na ulichosoma kuweza kuishi mtaana kwa elimu yako ....mfano mtu kasoma sociology, procurement, wildlife, mwalimu wa arts ,n.k utasugua sana na unahitaj kupata mtaji mkubwa ilii ufanye kitu ulichosomea

Vijana chagua kitu chenye ukisoma mtaan hukosi mia mia hata kama huna mtaji wowote
 
Back
Top Bottom