Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utawaza nini? Labda kama kwenu mnahela utapata mtaji ilaa sie akina mboga moja lazima usote tuuu.Kwamba mtu ukihitimu chuo unawaza kuajiliwa tu
90% GPA ya semister haikosani sana na Overall GPA.Umeenda shule kweli wewe? Hiyo sio overall GPA, hiyo ni ya semister
Lazima abezwe kw asababu wanatuambia chuo kikuu ni kisima ch maarifa, sasa maarifa gani ambayo anashindwakuyatumia kutauta riziki mpaka asubiri kuajiriwa wakati wasiosoma wanaishi. Elimu useless! Sijui ni elimu au aliyesoma, kuna kimoja hapo kina tatizo.Mtoa Uzi asibezwe hata kidogo
Kuna fani nyingine GPA sio dili....Dili ni kwamba una nini cha kuiwezesha taasisi/kampuni kumove on.GPA ya 3.8 ulisomea nini mpaka ukose kazi?
Umemaliza.Hii ndo inaitwa elimu bila maarifa
mtu Huwezi think out of the box
Punguza utoto na ujinga ndugu nani kakwambia nimesoma archeology??BA Archaeology lazima utaabike
Unashangaa 3.8? Mkuu nina 4.3 na nipo kitaa mwaka wa tatu huu umefikaGPA ya 3.8 ulisomea nini mpaka ukose kazi?
Nakumbuka mwaka juzi nilipata kabahati utumishi, aisee nafasi 2 tukaitwa 2000.. nikasema no sweat uchawi hauendi kwa mentali, ila ile idadi nimefika nikaikuta, nikasema dah Bongo noma sana..Nilikuwa nameza madesa ndugu, ila kwenye ajira compe ni kubwa asee usipime
Uyo jamaa ni mduanzi sana,,vipi ulishamalizana na bro maskani?Punguza utoto na ujinga ndugu nani kakwambia nimesoma archeology??
Una uhakika umeme wa magari pesa yake ni ndogo ?Kama lengo lako ni kuajiriwa nakushauri achana na umeme wa magari, soma boiler maker (Welding ) inaweza kua muhimu zaidi kuliko hiyo ya auto electricians; hiyo fani vijipesa vyake ni vidogo vidogo sana. Muhimu nakupongeza kua na vyeti vyote 2, VETA na Degree. Nchi zingine ambazo zimekua na vyuo vikuu vingi, vijana wake wengi wana degree zaidi ya moja kwa fani tofauti tofauti, yaani unakuta kijana ana degree ya uhasibu, sheria na hata manunuzi, lengo ni kua multi purposes, kwa BONGO i wouldnt suggest that cause we have other things to do or study kama hyo ya VETA.
Uko SUA alichukua degree ya nini?Kuna jamaa alipata degree SUA,alvyorud mtaan akakuta tayar magufuri ameshaanza madudu yake ikabid akasome diploma ya clinical medicine,sahv n CO vijijin huko na mshahara wake wa laki 4
Usipanic sana ndugu hiyo GPA ni yangu sio yakoUmeenda shule kweli wewe? Hiyo sio overall GPA, hiyo ni ya semister
Mzee kupata GPA kubwa sio guarantee ya kupata kaz, unapoteaGPA ya 3.8 ulisomea nini mpaka ukose kazi?
Ninadhani kitu ambacho haujui ni kuwa hela zote ni mali ya serikali na wao ndio wanaweza kuzimwaga mtaani au kuzitoa mtaani.Kwanza nianze kwa kumuombea dua kwa mwenyezi Mungu Rais wetu mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete, Mungu amlinde na kumpatia maisha marefu yenye furaha hapa Duniani.
Sijui mzee wetu Kikwete uliwezaje, maana ajira za kumwaga ulizokuwa ukitoa miaka 6 kurudi nyuma kwa kaka na Dada zetu leo kwa namna moja ama nyingine zimekuwa zikitusaidia na sisi majobless, leo unaweza kosa hata buku ya kula ukasaidiwa hata na ndugu ambae anakazi ya uhakika. Mungu akubariki sana muheshimiwa.
Wakati nikiwa advance shule yetu ilikuwa imepakana na chuo cha VETA, nilikuwa naona wale jamaa wamepotea njia kama sio kushindwa maisha. Kumbe bila kujua mimi ndio nilikuwa nimeenda kombo ya kiwango cha lami.
Najuta kupoteza muda, najuta kupoteza fedha ,najuta kutolitambua hili mapema, leo ninaishi kama nungunungu nisijue kesho yangu itakuwaje.
Ila mtafutaji hachoki, nimetuma maombi veta, nianze tena moja kusomea umeme wa magari. Mama Samia Hassan, nitoe pongezi kwako kwa kutufutia ile Value Retention Fee maana ilikuwa pigo kubwa kwa sisi majobless mungu akubariki sana mama.
Leo nimeamini cheti hakinunui bidhaa wala kulipa bili.