Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona imeshinda mfululizo? Au sielewi maana ya kuzingua!Toka Simba inazingua.....huonekani kabsaa
Unamuonea huruma tajiri, badala ya familia yako! Peleka watoto shule nzuri, achana na hizo za kata. Hapo ndipo utakapoonyesha hurumaDuh..
Hizo hela hawana hawa.
Huruma sana.
ndio kuzingua?Inagombania nafasi ya pili
Anachapisha sio!??Mudi atatoa
sasa hawa mikia watatoa wapi hiyo hela?Mchezaji aliyewahi kuichezea Simba kwa siku 54 Dejan Georgijević ameshinda kesi ya madai dhidi ya Simba na anatakiwa kulipwa milion 500 za Kitanzania kwa kukiukwa mkataba wake wakati anachezea Simba, FIFA imeipa Simba siku 45 kuhakikisha inalipa fedha hizo.
NB: Mlete mzungu [emoji23][emoji23][emoji112]
View attachment 2996160
Mick ni wa mchongoHabari za kutunga za mitandaoni tu hizi. Hazina ukweli wowote. Mkitaka habari za kweli nendeni kwa Micky Jr kule X au hata Facebook na Instagram. Huko hakuna habari kama hizo. Ujinga tu wa watu wachache wa mitandaoni.
Zipuuzeni..
utapeli tapeli ,kila kitu ukungu ukungu tuKivpi mkuu