TANZIA Demi Agoglia Afariki Dunia Wakati Akifanyiwa Upasuwaji Wa Kuongeza Shepu

TANZIA Demi Agoglia Afariki Dunia Wakati Akifanyiwa Upasuwaji Wa Kuongeza Shepu

demi hili swala litafika pabaya litafika mpk ngazi ya familia,hapo bado sijaongea na mizimu shauli yako ...
Acha basi maneno mengi...fanya linalowezekana😀
 
Mwanamke wa Uingereza aitwaye Demi Agoglia (26) amefariki dunia siku chache baada ya kufanya upasuaji wa kuongeza shepu (BBL) nchini Uturuki, Magazeti ya Uingereza yameripoti.

Demi ambaye alikua Mkazi kutoka Jiji la Manchester alipata mshtuko wa moyo saa chache kabla ya kuanza safari yake ya kurudi nyumbani Uingereza ambapo Mume wake alimpatia huduma ya dharura ya CPR kabla ya kumpeleka Hospitalini lakini jitihada zake hazikuzaa matunda.

Inaelezwa kwamba kiwango cha vifo vinavyotokana na upasuaji wa kuongeza makalio (BBL) ni kifo kimoja kati ya kila Watu 3000 ambapo upasuaji huo wa BBL ndio upasuaji wenye kiwango cha juu zaidi cha vifo vilivyorekodiwa kuliko upasuaji mwingine wowote wa urembo.

Upasuaji wa kuongeza makalio unakadiriwa kugharimu £3,500 (Tsh milioni 11.1) nchini Uturuki lakini hadi £10,000 (Tsh milioni 32) nchini Uingereza huku utafiti ukionesha kuwa ndio upasuaji hatarishi zaidi kuliko upasuaji mwingine wowote wa urembo.

Chanzo: Millard Ayo

View attachment 2868375
Mleta mada mbona hizi picha hazina tofauti?
Mimi nilidhani demu akifanya upasuaji wa aina hiyo anakua na kiuno nyigu kumbe sio 😁😁😂
images.jpeg
 
Funguka...nini unataka. Be straight. Mambo hadharani leo
una zimwi wewe..? si nimekwambia nataka picha yako!. umesahau mara hii..?
hebu nitumie huko pm mi sina nia mbaya nawewe usijishuku!
 
una zimwi wewe..? si nimekwambia nataka picha yako!. umesahau mara hii..?
hebu nitumie huko pm mi sina nia mbaya nawewe usijishuku!
😅😅 picha yangu hapo kwa avatar.
 
watu mnahangaika kupendezesha mwili, badala ya roho. 1 Wafalme 18:21 Naye Eliya akawakaribia watu wote akanena, mtasitasita katikati ya mawazo mawili hata lini? Bwana akiwa ndiye Mungu mfuateni, bali ikiwa baali ni mungu haya mfuateni yeye. Yakobo 1:8 Mtu wa nia mbili husitasita katika njia zake zote.

Mtafuteni Mungu, pendeni zaidi vipawa vya rohoni badala ya kuutumikia mwili na tamaa zake. Yesu Kristo anarudi, yu malangoni, heri wazifuao nguo zao katika Damu ya Mwanakondoo.
 
Mwanamke wa Uingereza aitwaye Demi Agoglia (26) amefariki dunia siku chache baada ya kufanya upasuaji wa kuongeza shepu (BBL) nchini Uturuki, Magazeti ya Uingereza yameripoti.

Demi ambaye alikua Mkazi kutoka Jiji la Manchester alipata mshtuko wa moyo saa chache kabla ya kuanza safari yake ya kurudi nyumbani Uingereza ambapo Mume wake alimpatia huduma ya dharura ya CPR kabla ya kumpeleka Hospitalini lakini jitihada zake hazikuzaa matunda.

Inaelezwa kwamba kiwango cha vifo vinavyotokana na upasuaji wa kuongeza makalio (BBL) ni kifo kimoja kati ya kila Watu 3000 ambapo upasuaji huo wa BBL ndio upasuaji wenye kiwango cha juu zaidi cha vifo vilivyorekodiwa kuliko upasuaji mwingine wowote wa urembo.

Upasuaji wa kuongeza makalio unakadiriwa kugharimu £3,500 (Tsh milioni 11.1) nchini Uturuki lakini hadi £10,000 (Tsh milioni 32) nchini Uingereza huku utafiti ukionesha kuwa ndio upasuaji hatarishi zaidi kuliko upasuaji mwingine wowote wa urembo.

Chanzo: Millard Ayo

View attachment 2868375
da!!!.....lakiniUTRUKI si taifa la KIISLAM wajameni?
 
Back
Top Bottom