Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Hapa hapa jukwaani panatosha sanainategemea na mtu au we unataka wapi sasa..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa hapa jukwaani panatosha sanainategemea na mtu au we unataka wapi sasa..?
Asiwe na hofu, sitavujishaUna ujumbe gani kwake?
Ujumbe umemfikia i guessAsiwe na hofu, sitavujisha
haya weka vitu...😅Hapa hapa jukwaani panatosha sana
Hamna😀haya weka vitu...😅
sa vipi tena unazingua mbona..?Hamna😀
Sa unataka niongee nini?sa vipi tena unazingua mbona..?
nitumie upicha wako pm kama hutaki nakuroga!. mi nishachoka kuvutana kha!Sa unataka niongee nini?
Sirogeki😅😅nitumie upicha wako pm kama hutaki nakuroga!. mi nishachoka kuvutana kha!
demi hili swala litafika pabaya litafika mpk ngazi ya familia,hapo bado sijaongea na mizimu shauli yako ...Sirogeki😅😅
Acha basi maneno mengi...fanya linalowezekana😀demi hili swala litafika pabaya litafika mpk ngazi ya familia,hapo bado sijaongea na mizimu shauli yako ...
Mleta mada mbona hizi picha hazina tofauti?Mwanamke wa Uingereza aitwaye Demi Agoglia (26) amefariki dunia siku chache baada ya kufanya upasuaji wa kuongeza shepu (BBL) nchini Uturuki, Magazeti ya Uingereza yameripoti.
Demi ambaye alikua Mkazi kutoka Jiji la Manchester alipata mshtuko wa moyo saa chache kabla ya kuanza safari yake ya kurudi nyumbani Uingereza ambapo Mume wake alimpatia huduma ya dharura ya CPR kabla ya kumpeleka Hospitalini lakini jitihada zake hazikuzaa matunda.
Inaelezwa kwamba kiwango cha vifo vinavyotokana na upasuaji wa kuongeza makalio (BBL) ni kifo kimoja kati ya kila Watu 3000 ambapo upasuaji huo wa BBL ndio upasuaji wenye kiwango cha juu zaidi cha vifo vilivyorekodiwa kuliko upasuaji mwingine wowote wa urembo.
Upasuaji wa kuongeza makalio unakadiriwa kugharimu £3,500 (Tsh milioni 11.1) nchini Uturuki lakini hadi £10,000 (Tsh milioni 32) nchini Uingereza huku utafiti ukionesha kuwa ndio upasuaji hatarishi zaidi kuliko upasuaji mwingine wowote wa urembo.
Chanzo: Millard Ayo
View attachment 2868375
unajua fika siwezi haya nikate kiu achana na hizo vurugu zangu!..😂Acha basi maneno mengi...fanya linalowezekana😀
Funguka...nini unataka. Be straight. Mambo hadharani leounajua fika siwezi haya nikate kiu achana na hizo vurugu zangu!..😂
una zimwi wewe..? si nimekwambia nataka picha yako!. umesahau mara hii..?Funguka...nini unataka. Be straight. Mambo hadharani leo
😅😅 picha yangu hapo kwa avatar.una zimwi wewe..? si nimekwambia nataka picha yako!. umesahau mara hii..?
hebu nitumie huko pm mi sina nia mbaya nawewe usijishuku!
kuna haja ya kukukuza bado! ukikua utaacha!..😅😅😅 picha yangu hapo kwa avatar.
da!!!.....lakiniUTRUKI si taifa la KIISLAM wajameni?Mwanamke wa Uingereza aitwaye Demi Agoglia (26) amefariki dunia siku chache baada ya kufanya upasuaji wa kuongeza shepu (BBL) nchini Uturuki, Magazeti ya Uingereza yameripoti.
Demi ambaye alikua Mkazi kutoka Jiji la Manchester alipata mshtuko wa moyo saa chache kabla ya kuanza safari yake ya kurudi nyumbani Uingereza ambapo Mume wake alimpatia huduma ya dharura ya CPR kabla ya kumpeleka Hospitalini lakini jitihada zake hazikuzaa matunda.
Inaelezwa kwamba kiwango cha vifo vinavyotokana na upasuaji wa kuongeza makalio (BBL) ni kifo kimoja kati ya kila Watu 3000 ambapo upasuaji huo wa BBL ndio upasuaji wenye kiwango cha juu zaidi cha vifo vilivyorekodiwa kuliko upasuaji mwingine wowote wa urembo.
Upasuaji wa kuongeza makalio unakadiriwa kugharimu £3,500 (Tsh milioni 11.1) nchini Uturuki lakini hadi £10,000 (Tsh milioni 32) nchini Uingereza huku utafiti ukionesha kuwa ndio upasuaji hatarishi zaidi kuliko upasuaji mwingine wowote wa urembo.
Chanzo: Millard Ayo
View attachment 2868375