Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una hips na tako natural mpaka raha...Yanii.. shida yote kisa nini sijui !
Bora nibaki na ftat yangu tu kwakweli najua utanipenda hivihivi nilivo
Thanks Babe!Una hips na tako natural mpaka raha...
Nilishangaa, siasa mbaya sanaSiasa na Makundi zilichangia pakubwa kupelekea ashambuliwe
Ndiyo mara ya kwanza kuona watu wakifurahia kifo cha mwenzao tena wengine wakiwa ni WanaCCM wenzake
So sadly [emoji25]
Kwa kweli Mkuu, Siasa zimefanya utu upotee miongoni mwetuNilishangaa, siasa mbaya sana
Mi nitasikitika aisee japo hata sikujui zaidi ya kupishana majukwaanj.Hivi siku nikifa mtasikitika?
Sifi bado nipo nipo😀Mi nitasikitika aisee japo hata sikujui zaidi ya kupishana majukwaanj.
Ndio maana nilipouona huu uzi ghafla nikajikuta nahuzunika mpaka niliposoma ndani ndo nikajua sio wewe.
😂😂 mleta uzi huyo ndo kazua mambo. Usijali mwaya.Sifi bado nipo nipo😀
😅😂😂 mleta uzi huyo ndo kazua mambo. Usijali mwaya.
Si angevaa matambara mengi tuMwanamke wa Uingereza aitwaye Demi Agoglia (26) amefariki dunia siku chache baada ya kufanya upasuaji wa kuongeza shepu (BBL) nchini Uturuki, Magazeti ya Uingereza yameripoti.
Demi ambaye alikua Mkazi kutoka Jiji la Manchester alipata mshtuko wa moyo saa chache kabla ya kuanza safari yake ya kurudi nyumbani Uingereza ambapo Mume wake alimpatia huduma ya dharura ya CPR kabla ya kumpeleka Hospitalini lakini jitihada zake hazikuzaa matunda.
Inaelezwa kwamba kiwango cha vifo vinavyotokana na upasuaji wa kuongeza makalio (BBL) ni kifo kimoja kati ya kila Watu 3000 ambapo upasuaji huo wa BBL ndio upasuaji wenye kiwango cha juu zaidi cha vifo vilivyorekodiwa kuliko upasuaji mwingine wowote wa urembo.
Upasuaji wa kuongeza makalio unakadiriwa kugharimu £3,500 (Tsh milioni 11.1) nchini Uturuki lakini hadi £10,000 (Tsh milioni 32) nchini Uingereza huku utafiti ukionesha kuwa ndio upasuaji hatarishi zaidi kuliko upasuaji mwingine wowote wa urembo.
Chanzo: Millard Ayo
View attachment 2868375
😅😅😅Demi si ingewezekana basi Moderator (s) wangeboresha heading kuwa Demi wa UK maana hii thread lazima ilete taharuki kila inapofufuliwa
Halafu imewekwa kabisaa TANZIA.... tokea lini raia wa uingereza akafanyiwa tanzia Tanzania bana?
Mods hebu tafakarini hii thread maana kiafrika inabeba uchuro usiovumilika
hapo sasaSi angevaa matambara mengi tu
Mods wameona imekaa sawa😅Demi si ingewezekana basi Moderator (s) wangeboresha heading kuwa Demi wa UK maana hii thread lazima ilete taharuki kila inapofufuliwa
Halafu imewekwa kabisaa TANZIA.... tokea lini raia wa uingereza akafanyiwa tanzia Tanzania bana?
Mods hebu tafakarini hii thread maana kiafrika inabeba uchuro usiovumilika