TANZIA Demi Agoglia Afariki Dunia Wakati Akifanyiwa Upasuwaji Wa Kuongeza Shepu

TANZIA Demi Agoglia Afariki Dunia Wakati Akifanyiwa Upasuwaji Wa Kuongeza Shepu

Rip,,,alikua mzuri makalio yann Mumeo kakupenda na hiyo flat,,so sad kaacha watoto wadogo,,,ila siku hiz wazungu wanapenda makalio zaman walikua wanaita wa Africa fat,,ma models wote walikua vimbao Mbao mambo yamekua tofaut siku izi figure 8 hata brands za nguo wasichana thick ndio wanaoonesha nguo zao,,kazi kwao wakomae na squats hiyo mi surgery waiache,,
 
Demi ,hivi hatuwezi kuomba hii thread ifutwe?,napata mshtuko wa ubongo kila niionapo.
 
Kama naona comments zenu za kuninanga zitakavyokuwa nyingi
Huyo si wewe,ni lipopo limoja tu toka Naija hata huko uingereza kazamia tu,hakuna mzungu anaongeza matako Turkey.
so wakuache demi wetu..
 
Back
Top Bottom