Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Wewe unajuaje?Alie asilie Wewe hautapata faida wala hasara yoyote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unajuaje?Alie asilie Wewe hautapata faida wala hasara yoyote
Tungeshangaa kwamba ni wewe anyway. Wewe umeumbika, Hilo unalo, mademu wa kibongo ni HATARII..Amen🙏
Nishakuwepo hukoWewe unajuaje?
Kama unanijua vile😜Tungeshangaa kwamba ni wewe anyway. Wewe umeumbika, Hilo unalo, mademu wa kibongo ni HATARII..
Ooh sawa sawaNishakuwepo huko
Acha kuparaza roho zetu! Nilifikiri ni Demi wetu afariki bila na mimi kuonja kitumbua chake! Hii ingekuwa dhuluma ya hali ya juuMwanamke wa Uingereza aitwaye Demi Agoglia (26) amefariki dunia siku chache baada ya kufanya upasuaji wa kuongeza shepu (BBL) nchini Uturuki, Magazeti ya Uingereza yameripoti.
Demi ambaye alikua Mkazi kutoka Jiji la Manchester alipata mshtuko wa moyo saa chache kabla ya kuanza safari yake ya kurudi nyumbani Uingereza ambapo Mume wake alimpatia huduma ya dharura ya CPR kabla ya kumpeleka Hospitalini lakini jitihada zake hazikuzaa matunda.
Inaelezwa kwamba kiwango cha vifo vinavyotokana na upasuaji wa kuongeza makalio (BBL) ni kifo kimoja kati ya kila Watu 3000 ambapo upasuaji huo wa BBL ndio upasuaji wenye kiwango cha juu zaidi cha vifo vilivyorekodiwa kuliko upasuaji mwingine wowote wa urembo.
Upasuaji wa kuongeza makalio unakadiriwa kugharimu £3,500 (Tsh milioni 11.1) nchini Uturuki lakini hadi £10,000 (Tsh milioni 32) nchini Uingereza huku utafiti ukionesha kuwa ndio upasuaji hatarishi zaidi kuliko upasuaji mwingine wowote wa urembo.
Chanzo: Millard Ayo
Ndipo ujue wengi tunakililia, na tunatumai one day yes!
🤣🤣🤣🤣🤣Jamani ni habari za msiba ila zimenichekeshaKweli kabisa,nimekaa chini na kuiweka simu kifuani nimefungua picha yako moyo ukiwa unaenda mbio na kupata maumivu ila nikakumbuka kurudi kusoma upya ili nipate uthibitisho huku mikono ikiwa inatetemeka na kutokwa jasho jingi,Ahsante Mungu bado unapumua.
Leo jiandae tu miropoko ya Kila namna
Shindwa pepoNdipo ujue wengi tunakililia, na tunatumai one day yes!
Mbona miropoko😀Leo jiandae tu miropoko ya Kila namna
Angetuua kwa pressure nani angenililia?🤣🤣🤣🤣🤣Jamani ni habari za msiba ila zimenichekesha
Acha wivu! Unataka tusiseme ukweli kama tunasololeaLeo jiandae tu miropoko ya Kila namna
Wakuache aiseeSiku nikifa utalia?
Kimoyo moyo unashangiliaShindwa pepo