aise
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 5,175
- 16,488
Mkuu mimi sikujui ila niliposoma heading ya huu uzi nikajua ni wewe, nimesikitika sana.Hivi siku nikifa mtasikitika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mimi sikujui ila niliposoma heading ya huu uzi nikajua ni wewe, nimesikitika sana.Hivi siku nikifa mtasikitika?
Kwanini nao hawakumleta Mloganzila? Unaona sasa!Inaelezwa kwamba kiwango cha vifo vinavyotokana na upasuaji wa kuongeza makalio (BBL) ni kifo kimoja kati ya kila Watu 3000 ambapo upasuaji huo wa BBL ndio upasuaji wenye kiwango cha juu zaidi cha vifo vilivyorekodiwa kuliko upasuaji mwingine wowote wa urembo.
Fanya fasta unione. Life is too short my friendNinahisi wewe ni mrembo sana. Mtoto laini ambaye ni wife material. Halafu nisikie umefariki hata sijakuona; inauma sana!
Ni kumkosea marehemuWapo wanaosemwa vibaya
PoleeeMkuu mimi sikujui ila niliposoma heading ya huu uzi nikajua ni wewe, nimesikitika sana.
Nimeandaa ndoo za machozi moyoniSiku nikifa utalia?
Huyo aliyekufa sio weweKwamba?
Okeee😃Huyo aliyekufa sio wewe
Mbona Magufuli alinangwaNi kumkosea marehemu
Nakumbuka kilipotokea kifo cha warumi jinsi members walivyokuwa wanaparuana kutaka picha yake wengine wakituma paparazzi wakiwa na kamera za kisasa mradi wapate picha yake
All in all Marehemu waheshimiwe na kunenewa mazuri
Hata mie nimeshtuka kupata simanzi ghafla.. Kufungua nakuta kitu kingineKabla ya kufungua kusoma kichwa duu moyo ukauma kweli! Daa Mungu atulinde jamani sote kwakweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siasa na Makundi zilichangia pakubwa kupelekea ashambuliweMbona Magufuli alinangwa