Demiss amepotelea wapi?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Hukuogopa? Mimi ningekua wewe ningemblock hapo hapo. Unatongozaje mtu humjui? Je kama ndo mtu wako nae yuko huku?

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Kwa kuwa nimeshawazoea nikamsikiliza nione mwisho labda ataweza nipa mawe nikatusua life,

If yenyewe kichaka mkeo ataweza kukutongoza mkakutana guest..
Lakini sometime wengine wanakuwa labda wameumizwa wanatafuta pa kujituliza hawa ndio wengi nina experience nao hapa..

Yafaa nini maisha pasipo kunyanduana?
Ukipewa shukuru ila nyie ndio kutwa kutunyima 😁😁😁
 
Natamani niingie pm kwako..
 

Mwee wazifute jamani sio vizuri
 
Nasikitika ujaniita mapema[emoji23][emoji23]

Twin aliboa
Humu jf bana [emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji16]

Jana na Leo ndo nimeamini humu watu wamepinda[emoji1787][emoji16][emoji16]

Yaan mtu anajiponda tena anajiharibia kabisa kuwa anauza uchi kwa id nyingine kabisa[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji1787][emoji1787]

Sitakaaa nisahau huu uzi asee
 

Twin nitajie jina PM maana kila nikisoma sijamjua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…