Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Hukuogopa? Mimi ningekua wewe ningemblock hapo hapo. Unatongozaje mtu humjui? Je kama ndo mtu wako nae yuko huku?

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Kwa kuwa nimeshawazoea nikamsikiliza nione mwisho labda ataweza nipa mawe nikatusua life,

If yenyewe kichaka mkeo ataweza kukutongoza mkakutana guest..
Lakini sometime wengine wanakuwa labda wameumizwa wanatafuta pa kujituliza hawa ndio wengi nina experience nao hapa..

Yafaa nini maisha pasipo kunyanduana?
Ukipewa shukuru ila nyie ndio kutwa kutunyima 😁😁😁
 
Acha uoga mkuu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Humu wote tunaigiziana maisha. Avatar, tunavyoandika na uhalisia ni tofauti.

Ukimuelewa mtu zama pm chaaap maisha yake mazuri utayajua huko mbele mkishaonana.

Sema tu kaka zetu mnalalamikaga eti sisi tuna sura za ancestors wetu ndo maana hawatufuati hawataki kupoteza muda

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Natamani niingie pm kwako..
 
Maneno aliyokua anaonge kwenye uzi ule yalimfanya hadi jamaa mleta mada aanze kuomba msamaha kwa wadau. Alianza kujiona yee ndio mwenye makosa kuleta uzi wa kutapeliwa, wadau wakamuweka 18. Mangungu alikoment bila kutaja mtu bidada ikamtachi akampalamia mzee mangungu akamwaga faili zima. Watu walifurahia ila hapa wanajifanya kumtetea.
Unafki mbaya

Yule gal ana matatizo nadhani maana hafi picha zake za uchi watu waliziona 2018 na 2019 wakamlipua JLW ila bado hakomi.
Halafu kuna watu humu walihifadhi picha zake za uchi ila hapa wanajifanya malaika, nawachora tu[emoji1][emoji1]

Mwee wazifute jamani sio vizuri
 
Nasikitika ujaniita mapema[emoji23][emoji23]

Twin aliboa
Humu jf bana [emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji16]

Jana na Leo ndo nimeamini humu watu wamepinda[emoji1787][emoji16][emoji16]

Yaan mtu anajiponda tena anajiharibia kabisa kuwa anauza uchi kwa id nyingine kabisa[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji1787][emoji1787]

Sitakaaa nisahau huu uzi asee
 
Humu jf bana [emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji16]

Jana na Leo ndo nimeamini humu watu wamepinda[emoji1787][emoji16][emoji16]

Yaan mtu anajiponda tena anajiharibia kabisa kuwa anauza uchi kwa id nyingine kabisa[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji1787][emoji1787]

Sitakaaa nisahau huu uzi asee

Twin nitajie jina PM maana kila nikisoma sijamjua
 
Back
Top Bottom