financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Maana yake ni safari ya kitu fulani ndiyo inaanza then mhusika mkuu anaishia njiani kwa sababu fulani.Maana ya huo msemo ni nini?
Mimi siko katikati jamani. Sikupenda tu yote yaliyotendeka. Sawa mwenzetu alikosea ila ile adhabu aliyopewa ilikua kubwa sana. Ugomvi wa mawe mwenzie akashusha guruneti.
Ila naamini alijifunza kitu Wangari.
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
At your own risk. Ukikutana na mkaka shababi shauri lakoNatamani niingie pm kwako..
Unajua bi jeiefu alikuja jipost selfika? Nikajisema alikuwa na haki ya kuja kumuanika Meri πHahahaaa mguu wa bia ule watu wakautamaniπ Ila Eve aki bado siamini kama ulikua serious au uliamua tu kunistua kidogoππ
Hahahahaaa.Mbona alichopatiwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dada Wity tufungulie basi tucheke wote π€£π€£π€£π€£Humu jf bana [emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji16]
Jana na Leo ndo nimeamini humu watu wamepinda[emoji1787][emoji16][emoji16]
Yaan mtu anajiponda tena anajiharibia kabisa kuwa anauza uchi kwa id nyingine kabisa[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji1787][emoji1787]
Sitakaaa nisahau huu uzi asee
Hapa ndo huoneshi unafiki sasa[emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yeah namie kama mzigua, sikupenda alivomuattack yule kaka kwa kumsema hata akipewa kazi akicheleweshwa mshahara atatangaza....na pia kuanikwa vile haikuwa poa.
Ila pia nlikuaga nabaki hoi zile mishe. Kwamba chini ya hili jua sijui alibakiza biashara gani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kunangwa sasa!!! Watz wavivu, hatujitumi, mtz mimi nlikua nasoma comments tu....
Naona niko JF tuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haupo kati kati upo wapi sasa Mzigua[emoji23][emoji23][emoji23]
πππ Niite basi hata kwa kinge "snitch" mnafiki imekaa kushoto sanaWe mnafiki[emoji16][emoji16][emoji16]
Weee mbona ilinipita hiyo? Hukutunza screenshot?Unajua bi jeiefu alikuja jipost selfika? Nikajisema alikuwa na haki ya kuja kumuanika Meri π
Mtoto una mkia balaaa, ni squat au Mungu kakupa?πππ Nlikua serious.....ntakuja kusutwa vibayaHahahaaa mguu wa bia ule watu wakautamaniπ Ila Eve aki bado siamini kama ulikua serious au uliamua tu kunistua kidogoππ
HahahahahahaNatamani kukuuliza we ni nani huko b4 maana naona ni member since sept 2021 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na unajua mambo ya 2018.
Au ndio nyie mnatung'ata na kupuliza.
Wity nitobolee hili jipu basi[emoji23][emoji23][emoji23]Humu jf bana [emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji16]
Jana na Leo ndo nimeamini humu watu wamepinda[emoji1787][emoji16][emoji16]
Yaan mtu anajiponda tena anajiharibia kabisa kuwa anauza uchi kwa id nyingine kabisa[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji1787][emoji1787]
Sitakaaa nisahau huu uzi asee
Huu uzi wa mkaka mutamu mutamu kavaa pensπHa ha ha ule uzi wa dada kajifanya anamuulizia mwenzie kumbe yeye[emoji23][emoji23]
HahahahahahahahaKila Mishe kafanya anaijua na inamuingizia pesa!! Mimi pia nilikua napita tu comments zake maana nilikua naona drama tu!!
Kumbe hakuna cha migodi wala nini daah[emoji23][emoji23][emoji23]
Witty nae haelewekagi usikute hata anajisema yeye mwenyewe πDada Wity tufungulie basi tucheke wote π€£π€£π€£π€£
Anayehitaji siri ya mafanikio akuje pm nitamuelekeza sina choyo mieπ€£π€£π€£Mtoto una mkia balaaa, ni squat au Mungu kakupa?πππ Nlikua serious.....ntakuja kusutwa vibaya
Mimi nataka id ya mutamu mutamu πππ nikupe basi elf 20 uniambie, usinibanie meriiππππAnayehitaji siri ya mafanikio akuje pm nitamuelekeza sina choyo mieπ€£π€£π€£
Baada ya kujipost nilihuzunika ujue? Sikutaka iwe story asee maana ni huzuniWeee mbona ilinipita hiyo? Hukutunza screenshot?
We acha tu yaan[emoji38][emoji38]Twin nitajie jina PM maana kila nikisoma sijamjua