Demiss amepotelea wapi?

Maana ya huo msemo ni nini?
Maana yake ni safari ya kitu fulani ndiyo inaanza then mhusika mkuu anaishia njiani kwa sababu fulani.
Ticha wetu huwa anautumia kama kutuhimiza kuzingatia kusoma hasa topic fulani anazoona ni compulsory kwa exams, anasema siku ya mtihani swali la kwanza tu hujui, unaishia njiani ama unafia kwenye mauaπŸ€ͺ
 

Haupo kati kati upo wapi sasa Mzigua[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dada Wity tufungulie basi tucheke wote 🀣🀣🀣🀣
 
Hapa ndo huoneshi unafiki sasa[emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Natamani kukuuliza we ni nani huko b4 maana naona ni member since sept 2021 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na unajua mambo ya 2018.

Au ndio nyie mnatung'ata na kupuliza.
Hahahahahaha

Mangunguuuuuu uwiii natania[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji38]
 
Wity nitobolee hili jipu basi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kila Mishe kafanya anaijua na inamuingizia pesa!! Mimi pia nilikua napita tu comments zake maana nilikua naona drama tu!!

Kumbe hakuna cha migodi wala nini daah[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahahahaha

Jamani eeh nasema hamniwezi kiselekali,kihela na kiuchawi[emoji16][emoji16][emoji38][emoji38]
 
Mtoto una mkia balaaa, ni squat au Mungu kakupa?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nlikua serious.....ntakuja kusutwa vibaya
Anayehitaji siri ya mafanikio akuje pm nitamuelekeza sina choyo mie🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…