Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Maana ya huo msemo ni nini?
Maana yake ni safari ya kitu fulani ndiyo inaanza then mhusika mkuu anaishia njiani kwa sababu fulani.
Ticha wetu huwa anautumia kama kutuhimiza kuzingatia kusoma hasa topic fulani anazoona ni compulsory kwa exams, anasema siku ya mtihani swali la kwanza tu hujui, unaishia njiani ama unafia kwenye maua🤪
 
Mimi siko katikati jamani. Sikupenda tu yote yaliyotendeka. Sawa mwenzetu alikosea ila ile adhabu aliyopewa ilikua kubwa sana. Ugomvi wa mawe mwenzie akashusha guruneti.
Ila naamini alijifunza kitu Wangari.

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app

Haupo kati kati upo wapi sasa Mzigua[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Humu jf bana [emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji16]

Jana na Leo ndo nimeamini humu watu wamepinda[emoji1787][emoji16][emoji16]

Yaan mtu anajiponda tena anajiharibia kabisa kuwa anauza uchi kwa id nyingine kabisa[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji1787][emoji1787]

Sitakaaa nisahau huu uzi asee
Dada Wity tufungulie basi tucheke wote 🤣🤣🤣🤣
 
Yeah namie kama mzigua, sikupenda alivomuattack yule kaka kwa kumsema hata akipewa kazi akicheleweshwa mshahara atatangaza....na pia kuanikwa vile haikuwa poa.

Ila pia nlikuaga nabaki hoi zile mishe. Kwamba chini ya hili jua sijui alibakiza biashara gani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kunangwa sasa!!! Watz wavivu, hatujitumi, mtz mimi nlikua nasoma comments tu....
Hapa ndo huoneshi unafiki sasa[emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Natamani kukuuliza we ni nani huko b4 maana naona ni member since sept 2021 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na unajua mambo ya 2018.

Au ndio nyie mnatung'ata na kupuliza.
Hahahahahaha

Mangunguuuuuu uwiii natania[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji38]
 
Humu jf bana [emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji16]

Jana na Leo ndo nimeamini humu watu wamepinda[emoji1787][emoji16][emoji16]

Yaan mtu anajiponda tena anajiharibia kabisa kuwa anauza uchi kwa id nyingine kabisa[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji1787][emoji1787]

Sitakaaa nisahau huu uzi asee
Wity nitobolee hili jipu basi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom