Demiss amepotelea wapi?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usjar shos angu, na siku ya kulipuliwa wee, JF itazizima mbnaa.
 
Yaan mie nlipigwa ya 60 days, nlijuta na kukoma mbna. Wee ngja nmfate shos huyo anpe hyo number wallah.
 
Hahahaaaa. Mimi sijui ilikuaje nikapona. Mungu ni mwema miaka 8 toka niwe member sijawahi kula ban. Sema ni vile pia sipendi migogoro ila kuna watu walinifikaga hapaaaa
 
Mimi nilikutanaga na mtu nikampenda kabisa (sijui kama na yeye alinipenda) ila maisha yana fumbo zake basi tukaachana na maisha yakaendelea.
 
Sina namba yake jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hebu ngoja kwanza. Yani unataka kunithibitishia pasi na shaka kuwa Manengelo ndio Wangari Maathai?

Kama ni kweli basi leo nimeamini mimi ni bonge la fala sana mamamae zangu na robo tatu.
Chief umekumbwa na nini au uliomba usajiri kote kote na kote ukasaini [emoji3]
 
🀣🀣 wana mambo

Nilipuuza baada ya yule member mwenye kipara kumnanga member aliyemkula wakati ye mwenyewe hata kwa Top 50 hatoboi.

Nilimsikitikia member wa watu aloooh humu ila
Acha uwongo wewe binti haahahahahahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…