Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Mimi bwana nawaza mashosti zangu wako jf then hawajui km Mimi ndo nshalipuliwa sasa[emoji2][emoji1][emoji1]shida ntaonekana mbea wa siri za watu looohh!
Mungu nistiri miyee!!![emoji16][emoji16][emoji16]sasa kwenye miamala ikianza namie usinisahau dogoo!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usjar shos angu, na siku ya kulipuliwa wee, JF itazizima mbnaa.
 
[emoji16][emoji16][emoji16]afu sina tena ujue sikusave kwenye google...muambie@mzigua90 akupe...!!ningekupa shoo!!yaani max ana huruma sana ujue...then bonge la muungwana yaani acha kabisa ban miezi 3 sijaka hata 24 hrs[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]ila nimeacha matusi thiku hidhiii!!![emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]mmekua mthtaaaraabu..

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Yaan mie nlipigwa ya 60 days, nlijuta na kukoma mbna. Wee ngja nmfate shos huyo anpe hyo number wallah.
 
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]yaani nilikula ban 3months takatifu nakumbuka ilikua inaisha 3rd November of that year...[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]namfata shunie ananipa pole akanipa namba ya Max,wasap Melo ananiuliza unataka iishe lini[emoji3][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji16]!!!!namuambia leo hii anajibua hayaa...akantoa kwenye mabano[emoji2][emoji2][emoji1][emoji28][emoji28]sina hamu..halafu Vladmir akaka nje mda kidogo ya jf kwa ban...!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Hahahaaaa. Mimi sijui ilikuaje nikapona. Mungu ni mwema miaka 8 toka niwe member sijawahi kula ban. Sema ni vile pia sipendi migogoro ila kuna watu walinifikaga hapaaaa
 
Uko sahihi ya faragha yaishie faragha jamani...!!looh!kuhusu kuoa mbona watu wanaona humu!kuna kapo naijua wako almost 13 years now ni product ya jf tena ni watz wenzetu!!!Mungu ndo anajua mwenza wampata wapii!!!humu kuna watu wamezaa humu wako pamoja wengine wameachana n.k!!bahati mbaya ukikutana na jini mkata kamba

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Mimi nilikutanaga na mtu nikampenda kabisa (sijui kama na yeye alinipenda) ila maisha yana fumbo zake basi tukaachana na maisha yakaendelea.
 
[emoji16][emoji16][emoji16]afu sina tena ujue sikusave kwenye google...muambie@mzigua90 akupe...!!ningekupa shoo!!yaani max ana huruma sana ujue...then bonge la muungwana yaani acha kabisa ban miezi 3 sijaka hata 24 hrs[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]ila nimeacha matusi thiku hidhiii!!![emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]mmekua mthtaaaraabu..

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Sina namba yake jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hebu ngoja kwanza. Yani unataka kunithibitishia pasi na shaka kuwa Manengelo ndio Wangari Maathai?

Kama ni kweli basi leo nimeamini mimi ni bonge la fala sana mamamae zangu na robo tatu.
Chief umekumbwa na nini au uliomba usajiri kote kote na kote ukasaini [emoji3]
 
🤣🤣 wana mambo

Nilipuuza baada ya yule member mwenye kipara kumnanga member aliyemkula wakati ye mwenyewe hata kwa Top 50 hatoboi.

Nilimsikitikia member wa watu aloooh humu ila
Acha uwongo wewe binti haahahahahahahah
 
Back
Top Bottom