Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Shost akee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Demiss mgogo, mimi Mmeru [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni KAS to KUS hiyo.
Umetoka
Katiti
Malula
Samaria
Sura
King'ori
Maji ya chai
Imbaseni
Nkokashu
Nkoaranga
Kilala

Someli
Au
 
Maisha ni magumu sana Kipenzi, Mtu anavyohangaika kutafuta ridhiki mpaka anazulumiwa kuja kulalamika sio kosa.

Binafsi sikupenda jinsi alivyokua anamzodoa yule kaka na nilicomment.

Ila JF kwenye ule uzi kuna watu walifurahi mdada kutolewa siri zake halafu huku wanajifanya kusikitika daah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Haya maisha yanahitaji unafiki ili kwenda sawa 😂😂😂 ukienda kwa a unampamba ulienda kwa z unampamba pia
 
Maisha ni magumu sana Kipenzi, Mtu anavyohangaika kutafuta ridhiki mpaka anazulumiwa kuja kulalamika sio kosa.

Binafsi sikupenda jinsi alivyokua anamzodoa yule kaka na nilicomment.

Ila JF kwenye ule uzi kuna watu walifurahi mdada kutolewa siri zake halafu huku wanajifanya kusikitika daah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Unazoom[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kabla haujarudi nitumie basi na mie niwe wa mwisho, namba ni moja tu muamala ni mmoja....hata usipotuma na tozo mi sina tatizo
Wee mkongwe mwenzangu huwezi nichuna kirahisi

Hebu badili ID afu unjjaribu. Usisahau kuweka avatar yenye sura nyororo

Usihangaike kuweka chura, maana chura hata mbuzi anayo... tena na mkia kauweka juu tuiangalie tutakavyo.
 
Back
Top Bottom