kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Huyo mbona yupo? Juzi alikuja na uzi wakuwananga wanaume. Kumbavu sana.Miss Natafuta nimemmiss kinyamwezi yaani..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mbona yupo? Juzi alikuja na uzi wakuwananga wanaume. Kumbavu sana.Miss Natafuta nimemmiss kinyamwezi yaani..
UmetokaShost akee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Demiss mgogo, mimi Mmeru [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni KAS to KUS hiyo.
Ila yule dada alionywa mda asipende kujikwenza ile uzi nilikuwa nasoma tu comments[emoji3][emoji3][emoji3]
Haya maisha yanahitaji unafiki ili kwenda sawa 😂😂😂 ukienda kwa a unampamba ulienda kwa z unampamba piaMaisha ni magumu sana Kipenzi, Mtu anavyohangaika kutafuta ridhiki mpaka anazulumiwa kuja kulalamika sio kosa.
Binafsi sikupenda jinsi alivyokua anamzodoa yule kaka na nilicomment.
Ila JF kwenye ule uzi kuna watu walifurahi mdada kutolewa siri zake halafu huku wanajifanya kusikitika daah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Na sasa hivi kukulana kunanoga hakuna mfano. Tuendelee kukulana ila kwa stahaEe kwa huu umri tulonao ndio tulane haswa maana tunaenda kuzeeka hatutakulana vyema [emoji23][emoji23]
Kabisa kiongoziNa sasa hivi kukulana kunanoga hakuna mfano. Tuendelee kukulana ila kwa staha
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
mbona hata Mimi mwenyewe mbaba hakuna tofauti ila huwa nakuwa nna huruma na waume zao labda au mabwana zao
Unazoom[emoji23][emoji23][emoji23]Maisha ni magumu sana Kipenzi, Mtu anavyohangaika kutafuta ridhiki mpaka anazulumiwa kuja kulalamika sio kosa.
Binafsi sikupenda jinsi alivyokua anamzodoa yule kaka na nilicomment.
Ila JF kwenye ule uzi kuna watu walifurahi mdada kutolewa siri zake halafu huku wanajifanya kusikitika daah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Wee mkongwe mwenzangu huwezi nichuna kirahisiKabla haujarudi nitumie basi na mie niwe wa mwisho, namba ni moja tu muamala ni mmoja....hata usipotuma na tozo mi sina tatizo
Hahahaha umebugi sio yeyehuyu bushamamy mbona kakaa ki wangari wangari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mna uhakika sio yy??
Ila siku hizi if mitanange imepungua zamani uwii anatoka huyu anaingia mwingine mwezi kila siku michambo daaah
Siku hizi amani [emoji23]
Eee halaf ole wako uje utangaze utanitambua adhabu yako nakuoa kabisa😁😁😁😁huna akili
Maji ya chai moja hiyo.Umetoka
Katiti
Malula
Samaria
Sura
King'ori
Maji ya chai
Imbaseni
Nkokashu
Nkoaranga
Kilala
Someli
Au
Yupo kwa jina lingine namjua sana huyoNdo ivo watu waliyoa faili lake akabaki mtupu kwenye kadamnasi
Haya maisha yanahitaji unafiki ili kwenda sawa [emoji23][emoji23][emoji23] ukienda kwa a unampamba ulienda kwa z unampamba pia
Hata ilo pia hayupoYupo kwa jina lingine namjua sana huyo
Huyo bia yetu tutusa fulani hiviBia Yetu
Ncha Kali..
Leo ndio nimejua maana kamili ya msemo "Kukataliwa kubaya, kukataliwa mateso"We una fuso la babezii Jf sikuwezi na uzee huu cha kufia nini 😀😀😀
Na Windhoek baridiWeka na godoro kabisa, ilimradi usinianike tu...
Unazoom[emoji23][emoji23][emoji23]