Demiss, Mzigua90 na Sky Eclat huwa mnalalaga saa ngapi, muda wote mko Online 24/7, au hamna waume/wapenzi? Mtujuze

Demiss, Mzigua90 na Sky Eclat huwa mnalalaga saa ngapi, muda wote mko Online 24/7, au hamna waume/wapenzi? Mtujuze

Kwa mdada kama Sky eclat, kumuuliza maswali ya kipuuzi kama hayo ni kujidhalilisha mwenyewe.

Huyu dada yuko smart kichwani, ni mtani wa watu, mcheshi na hajiskii kabisa(simple).

Hivi unawezaje ukawa na tatizo na mtu kama huyu??

Nadhani mtoa mada ni wivu tu na umasikini ndo unaokusumbua.

Kwani ulishawahi kuwafata PM ukawauliza vimaswali vyako vya kimasikini wakashindwa kukujibu mpaka uje kuanzisha uzi wa kipumbavu??

Haya ukishapata majibu ya maswali yako, itakusaidia nini??

Usipende sana kujipendekeza kwa watu usiowajua, watu tunawapenda uliowataja na tunawaheshimu na tunafurahi sana tuwaona online kila mda.
 
Hao ni wadangaji sugu wanadanga pale Kinondoni Makaburini wakiwa wanasubiri wateja nanaona sio mbaya kuingia JamiiForums kuangalia taarifa
 
Kuna hawa wadada Demiss, Mzigua90 na Sky Eclat yaani kila nikitupa jicho humu Jf nawakuta wako Online.
Maswali yangu:
1. Hamna waume?
2. Mna stress?
3. Single mothers?
4. Widowers?
5. Mnaishi pamoja?
6. Mna bando za kuchezea?
7. Mnawekwa tu mjini (hamna majukumu)?
8. Mnataka kiki?
9. Jobless?
10. Mna share Jf?
11. Ni multiples I'D?
12. Mnajishaua tu tuwaone kuwa mko juu?

Yaani sijawahi ingia humu Jf nikakuta hakuna mada yoyote ambayo Demiss, Mzigua90 au Sky Eclat hawajatia maguu.
Nipeni nami mbinu mwanamke mwenzenu niweze damshi majukwaa yote.

Khaaa!!!!
 
Kwa mdada kama Sky eclat, kumuuliza maswali ya kipuuzi kama hayo ni kujidhalilisha mwenyewe.

Huyu dada yuko smart kichwani, ni mtani wa watu, mcheshi na hajiskii kabisa(simple).

Hivi unawezaje ukawa na tatizo na mtu kama huyu??

Nadhani mtoa mada ni wivu tu na umasikini ndo unaokusumbua.

Kwani ulishawahi kuwafata PM ukawauliza vimaswali vyako vya kimasikini wakashindwa kukujibu mpaka uje kuanzisha uzi wa kipumbavu??

Haya ukishapata majibu ya maswali yako, itakusaidia nini??

Usipende sana kujipendekeza kwa watu usiowajua, watu tunawapenda uliowataja na tunawaheshimu na tunafurahi sana tuwaona online kila mda.
Ahsante
 
Mimi peke yangu ndo mpaka sasa ndo naijua main id ya mleta mada ila hao wote uliowataja ni wapole, wastaarabu hawajui kuchamba hawana maneno hata ila ungewataja wakina fudenge na ninavyokujua mleta mada mngechambana balaa ingekuwa bonge moja la movie.
Ila hao hata ukiwatia kidole cha jicho wananyanyuka wanaendelea na yao.
Amu ni nani huyuuu
 
Walev Wa jf utawajua tu jinsi wanavyojitetea
JD.jpg

Wiki ijayo natimiza Miaka 8 Tangu Nijoin JF na Miaka 10 kwa Tangu Kuijua JF 2008.......Ni kweli nipo kitambo sana.
 
Back
Top Bottom