Demiss sio malaika ni binadamu kama wewe

Demiss sio malaika ni binadamu kama wewe

Multiple IDs in the making
Screenshot_20180314-035451.jpg
 
Am so sorry to write this... Na si kawaida yangu kuandika hiki ninachoandika.. But like anybody else... Nina hisia kama wengine.. Nina matamanio kama wengine..... Nina upweke kama wengine.... Nilikuwa na mpenzi hapa na sikuruka ruka kama wengine leo hapa kesho pale .. Msipeleke mawazo yenu kwa Asprin mzee wa kukagua 😳 😳 😳
Baadae my heart bit (she knows how much I loved n respected her) akaenda mbali nami.. It was something unpreventable..... Nikawasiliane naye.. Because she cares akanipa kibali... Na kibali hicho akatunukiwa chamdeko .. The rest is very known to everybody... Demiss chamdeko sio malaika kumchafua haitopunguza Makhabati yangu kwake.... NAMPENDA... SANA... HALAFU SANA..!!!
Ila lazima ujiheshimu na umri wako. Kwani ni lazima kutangaza kuwa unamla fulani? Usifanye mambo ya viBen10 (wageni wa mapenzi). Fanya kimya kimya kama mtu mzima
 
Back
Top Bottom