Demiss sio malaika ni binadamu kama wewe

Demiss sio malaika ni binadamu kama wewe

Sikujua kama haya mambo ni siriazi mkuu. Nilifikiri utani. Basi nisamehe. Hutanisikia tena. Nakuheshimu sana pia. Na King of Msata too. Samahani sana kama nimewakwaza - love birds !!!
Nashukuru kwa kuelewa nilitaka kushangaa sana heshima kwako
 
Am so sorry to write this... Na si kawaida yangu kuandika hiki ninachoandika.. But like anybody else... Nina hisia kama wengine.. Nina matamanio kama wengine..... Nina upweke kama wengine.... Nilikuwa na mpenzi hapa na sikuruka ruka kama wengine leo hapa kesho pale .. Msipeleke mawazo yenu kwa Asprin mzee wa kukagua 😳 😳 😳
Baadae my heart bit (she knows how much I loved n respected her) akaenda mbali nami.. It was something unpreventable..... Nikawasiliane naye.. Because she cares akanipa kibali... Na kibali hicho akatunukiwa chamdeko .. The rest is very known to everybody... Demiss chamdeko sio malaika kumchafua haitopunguza Makhabati yangu kwake.... NAMPENDA... SANA... HALAFU SANA..!!!
Siamini kama Umeandika Unachokijua au Umeamua kuchangamsha Jukwaaaaaaaaaaaa... Ila Ukuta unaficha mengi Basi sawa
 
Siamini kama Umeandika Unachokijua au Umeamua kuchangamsha Jukwaaaaaaaaaaaa... Ila Ukuta unaficha mengi Basi sawa
Mrs Jr
image_search_1520784860979.jpg
 
Back
Top Bottom