Tulishakaa chini tukapendeza mfumo wa utawala unaotufaa kupitia Katiba pendekezwa ya Warioba, waambie CCM watekeleze kwanza hilo.Mifano yako ni dhaifu sana. Unakuwa unaangalia mambo kijuu juu. Mimi sijitii kujua mfumo unaotufaa. Ninachofahamu, kutokana na ushahidi ni kuwa demokrasia ni adui wa maendeleo; ni rahisi kuendelea chini ya udikteta na ufalme au utawala wa chama kuliko chini ya demokrasia. Nataka tukae chini tutafute mfumo utakaotufaa.
Ukimaliza hiyo home work unishtue.Hiyo sasa mpaka nifanye home work
Ili kufahamu hilo natakiwa nijue maisha kwa undani ya wagombea husika(na sio tu chama), uwezo wao wa kufanya kazi, track record kwenye shughuli zao za siasa, na cha muhimu zaidi ni uwezo wao wa kushiriki vizuri na team. Changamoto ya benovalent dictatorship ni kwamba maamuzi yanafanywa na watu wachache. Kuna benovalent dictators wengine ambao hubadilika baada ya muda na kuacha kuwa benovalent. Kama Tanzania ingefikiria kuwa na benovalent dictatorship basi hili ndilo litakuwa na ugumu kufahamu kuliko vyoteKwenye dictatorship hakuna hata uchaguzi? Kwa mfano leo CCM, CHADEMA na ACT unafikiri wakina nani wanaweza kugombea katika hivyo vyama tumchague kama benovalent dictator mwakani ili nchi itawalike katika mfumo wa benovalent dictatorship?
Udikteta umefanya kazi nzuri Africa kuliko demokrasia. Nchi kama Shelisheli, Libya na Misri ni mfano wa nchi chache zilizofanya vizuri chini ya Udikteta. Kwa miaka zaidi ya 30 "kelele za kudai demokrasia" na demokrasia yenyewe haijafanya chochote kuitoa Africa kwenye umaskini.
Ni benovalent dictators gani au nchi zipi waliopatikana kwa njia hii??Ili kufahamu hilo natakiwa nijue maisha kwa undani ya wagombea husika(na sio tu chama), uwezo wao wa kufanya kazi, track record kwenye shughuli zao za siasa, na cha muhimu zaidi ni uwezo wao wa kushiriki vizuri na team. Changamoto ya benovalent dictatorship ni kwamba maamuzi yanafanywa na watu wachache. Kuna benovalent dictators wengine ambao hubadilika baada ya muda na kuacha kuwa benovalent. Kama Tanzania ingefikiria kuwa na benovalent dictatorship basi hili ndilo litakuwa na ugumu kufahamu kuliko vyote
Taarifa hizo sio public ila ni common sense. Una mapendekezo yapi kuhusu upatikanaji wa benovalent dictator?. Je Tanzania inatakiwa kuwa na demokrasia.Ni benovalent dictators gani au nchi zipi waliopatikana kwa njia hii??
Dogo ufisadi, wizi, upendeleo, uzembe, kutokuwajibika viko katika mfumo Gani au vinastawi katika mfumo gani?DEMOKRASIA NA NCHI MASIKINI
Leo nakuja tena na hii mada.
Kwanza ijulikane kuwa hakuna nchi masikini imewahi endelea ikIwa chini ya demokrasia. Ukifutilia historia utaona kuwa hakuna nchi imewahi kutoka kwenye umaskini ikiwa inaongozwa kidemokrasia. Nchi zote zilizofanikiwa kutoka kwenye umaskini zimeongozwa kidikteta au kifalme.
Demokrasia ni anasa ya matajiri. Nchi masikini ikiingia kwenye demokrasia inajichimbia kaburi. Kwanza sababu ni kuwa ni gharama kubwa sana kuendesha nchi ya kidemokrasia. Nchi ya kidemokrasia ina walaji wengi sana.
Msomi mmoja alisema kuwa tofauti kubwa ya udikteta na demokrasia ni idadi ya watu unaotakiwa kuwaridhisha ili uendelee kushika madaraka. Idadi hiyo ni kubwa sana kwenye demokrasia. Wanaridhishwa kwa kupewa vyeo vingi vilivyoundwa kwa ajili yao. Na mzigo wote wa kuwalipa na kuwagharamia unaangukia nchi ambayo ni maskini.
Serikali ya kidemokrasia haiwezi kuja na sera za maendeleo ambazo zitawataka wananchi wafunge mikanda. Kuna wakati ili nchi iendelee ni lazima watu wafunge mikanda. Mfano nchi inaweza kusema hatutaagiza ngano ila tutahakikisha tunazalisha wenyewe kiasi cha kututosha. Kwenye nchi ya kifalme au kidikteta hilo linaweza kufanyika na baada ya muda nchi ikajitosheleza kwa ngano. Kwenye nchi ya kidemokrasia ngano ikiadimika wiki tu watu watangia barabarani na kuiangusha serikali. Wapinzani watapiga kelele za ajabu. Rais mwenye maono wa Liberia aliangushwa kwa namna hii na nchi ikachukuliwa na watu wazembe kama Samuel Doe. Ukisema tukuze textile industry yetu hivyo tulinde soko letu watu watazama barabarani na kukunyofoa madarakani. Waliotuletea demokrasia walijua vema wanachokifanya.
Kwenye nchi ya kidemokrasia ajenda kuu ya mtawala ni namna ya kubaki madarakani. Maamuzi yake yote yanazingatia kutimizwa kwa ajenda hii, hata kama yapo kinyume na maslahi ya nchi. Mfalme au dikteta anakuwa yupo imara madarakani. Anaweza kuwaza namna ya kukuza uchumi na hivyo kujiongezea kipato.
Nchi kama S Korea, Singapore, Malaysia na Shelisheli zimeweza kutoka kwenye umaskini kupitia madikteta.
Nchi kama UAE, KSA na Brunei zimeweza kufanya vizuri chini ya Ufame.
Bado hakuna nchi ya kidemokrasia iliyojitoa kwenye umaskini. Kila aina ya utawala ina mapungufu yake lakini demokrasia ni mfumo wa hovyo zaidi.
Habari kubwa kwenye nchi za kidemokrasia si za maendeleo, bali habari kuhusu michakato ya kidemokrasia.
DEMOKRASIA NA NCHI ZILIZOENDELEA
Nchi iliyoendelea na inayofuata demokrasia lazima itarudi kwenye umaskini. Nchi ya kidemokrasia iliyoendelea lazima itageuka ya kisocialist. Yaani wananchi wake watakuwa wanadai huduma kutoka kwa serikali kila leo hadi serikali itashindwa kuhudumia. Wananchi watataka afya bure. Mwanasiasa atakaye waahidi hilo wanamchagua. Kesho watadai elimu bure, kesho kutwa mishahara mikubwa, ruzuku wakulima nk nk. Nchi hizi zinajikuta zina matumizi makubwa kuliko mapato. Na wakati huo huo wanachi wakiwachagua wanasiasa wanaowaahidi kodi ndogo. Mwisho zinajikuta zina madeni wasiyoyaweza na deficit(nakisi) kwenye bajeti. Kaangalie nchi zinazodaiwa madeni ya kutisha, utakuta nchi za kidemokrasia zilizoendelea hasa ndizo zinaongoza kwa madeni, wala si nchi maskini zinazotangazwa kila leo. US deni lake ni asilimia 90 ya GDP yake. UK ni kama asilimia 250 wakati China ni kama 13%.
Hili la nchi kushindwa kumudu gharama limetokea kwa Argentina na nchi nyingi zilizoendelea zinaenda muelekeo huo.
Wafanyakazi wa nchi zilizoendelea na zinazofuata demokrasia wanaunda unions, na kudai mishahara mikubwa, benefits na haki nyingi. Matokeo yake gharama za uzalishaji zinakuwa kubwa na nchi kushindwa kushindana na bidhaa za kutoka mataifa mengine kama China. Matokeo yake viwanda vinafunga.
Gharama za kujenga miundombinu kwenye nchi za kidemokrasia ni kubwa sana. China imeziacha mbali sana nchi za magharibi kwenye suala la treni ziendazo kasi. Sababu kubwa ni mchakato mgumu na gharama kubwa za kufanya hivyo kwenye nchi za kidemokrasia. Kwenye nchi za kidemokrasia ukitaka kujenga kitu utakutana na red tapes za maana. Kila kikundi kitatoa sauti zao. Wenye ardhi watagoma reli isipite kwenye mapori yao au watadai fidia za ajabu na kukupeleka mahakamani juu.
Wengi wape lakini wakati mwingine wengi hukosea vibaya sana. Suala la Brexit ni mfano wa hili. Watu wengi walipiga kura UK ijiondoe EU. Leo hii baada ya athari kubwa za Brexit waingereza wengi wanajuta na kusema kuwa suala la Brexit halikuwa sawa. Mambo ya kitaalamu hayapaswi kuendeshwa kidemokrasia.
Demokrasia haifai kwa nchi maskini. Tukae chini tutafute mfumo mwingine.
Sahihi kabisa !Hii democrasia inaleta divide and Rule!! Democrasia ni Utapeli .
Viongizi wa Africa,wakiapishwa hawana tena Cha kuwaza zaidi ya uchaguzi ujao, ayo maendeleo unayoyasema kwa mlolongo huo utayapataje?na ilo ni zao la kulazimisha mifumo isiyoendana na sisi katika nchi zetu kama iyo democrasia. Mtoa mada yupo sawaHoja ya mleta uzi ni mfu. Africa hakuna democracy na hakuna maendeleo either.
LKY alikuwa dikteta jambo ambalo hata yeye binafsi hakuwahi kupinga sifa hiyo na siku zote alikuwa proud kuonekana hivyo na hakuwahi kuipenda demokrasia katika maisha yake.Lee Kuan Yew alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa Singapore kupitia chama cha PAP na katiba ya Singapore haina ukomo wa madaraka kwa waziri mkuu.
Shida ya waafrica ni kukariri, maandiko na mafundisho ya wazunguNaunga mkono title ya mada hii. Demkkrasia inafaa kwa mataifa yaliyoendelea tayari. Lakini kwetu sisi ni upotezaji wa rasilimali muda, fedha na nguvukazi
Wewe unajaribu kutetea nini ? Hivi unaelewa hata nilicho andika na unacho andika hapa ???Very weak point.
Kama unataka turudi nyuma kwenye miaka ya 1700 au 1800 ni sawa tu tunaweza
Hata sisi Waafrika tuna historia ya kuwa na machief na wafalme wakatili walioongoza kwa udikteta. Wapo wengi sana.
Lakini je tuliendelea? Hi dunia yote at some point ilikuwa chini ya ufalme na udikteta,
But still hata kipindi hicho cha udikteta Waafrika kimaendeleo tulikuwa bado.
So i dont understand una-argue nini? Like whats your point?
Acha uji.....n..ga-dogoNa hapa ndipo umuhimu wa CHUMA unapokuja.
Yule jamaa kama angetawala extra 10yrs.
Tanzania na South Africa tungekua tunapelekana Anus 2anus katika maendeleo.
Ndiyo, uwajibishaji ni muhimu kwenye demokrasiaDemocrasia ni nzuri sana kwa nchi ambazo majority wanana elimu ya uraia na kujua nini hasa maana ya democrasia kwa nchi zetu ambazo majority ya watu ni nyumbu democrasia haileti matokea tarajiwa wala haiwezi kuleta uwajibikaji
Demokrasia imemfanya Mbowe anataka kugombea kwa miaka mingine mitanoDemokrasia imefanya binadamu anajiita CHAWA
Ukiangalia Historia madikteta wengi wamekuwa wanaingia madarakani kwa mapinduzi ,vita, kama falme, kupitia vyama vya kidikteta na wachache kama Hitler huwa wanachaguliwa kabisa kama wanademokrasia katika mifumo ya kidemokrasia kabisa halafu wanageuka kuwa madikteta wakiwa madarakani. Nyie nafikiri mchague hiyo ya mwisho ambayo ni ya bahati nasibu, tafuteni mtu mnayeoona anafaa kuwa dictator mzuri kutoka katika vyama halafu muhakikishe mnampigia kura na anashinda uchaguzi.Taarifa hizo sio public ila ni common sense. Una mapendekezo yapi kuhusu upatikanaji wa benovalent dictator?. Je Tanzania inatakiwa kuwa na demokrasia.