Demokrasia ni adui wa maendeleo

Singapore iliendeshwa kwa mfumo gani mkuu
 
Nimekujibu hapo kuwa ziliendelea kwa viwango vyao kwa wakati wao. Unataka kusema jamii za waafrika hazijawahi kuwa na maendeleo huko kale?
 
Ufaransa
Botswana
 

Acha kubadilisha hoja mkuu.

Unataka sasa tuanze ku-debate maendeleo ni nini?

Ukweli ni kwamba hata kabla ya kuja demokrasia AFRIKA ILIKUWA MASIKINI.

Katika kipindi ambacho dunia yote ilikuwa in dictatorship mode, still wa Afrika hata vijiko mlikuwa nashindwa kutengeneza.

Maana yake ni kwamba, msisingizie demokrasia.

Kuna sababu zenu za kutokuendelea lakini demokrasia is not one of them.

Nimekutolea mfano wa nchi ambazo hazikufuata demokrasia na bado ni masikini wa kutupa.

This should not be hard for you to comprehend
 
kwenye demokrasia wengi wanagubikwa na uvivu ulikithiri,...kila kitu wao ni kulalamika kwa kuwa wanahaki ya kuongea,....
 
Kidikteta na waziri mkuu mmoja kwa miaka 30, hadi mwaka 1990.
Lee Kuan Yew alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa Singapore kupitia chama cha PAP na katiba ya Singapore haina ukomo wa madaraka kwa waziri mkuu.
 
Ufaransa
Botswana
Ufaransa hadi leo ina makoloni. So ni kama nchi mwizi. Botswana Imepiga hatua kulinganisha na zingine, na sifa nyingi zimuendee waziri mkuu wao wa kwanza ambaye alikuwa mwana mfalme, ambaye alitawala kwa miaka 14 hadi kifo kilipomtoa madarakani. Huyu ndiye aliweka misingi kwenye sera za madini zilizofanya Botswana iwe hapo ilipo leo. Hatuwezi sema uchumi wake ulijengwa ikiwa ya kidemokrasia.
 
kwenye demokrasia wengi wanagubikwa na uvivu ulikithiri,...kila kitu wao ni kulalamika kwa kuwa wanahaki ya kuongea,....
Kwa nini kuna nchi za kidekteta zisizo na maendeleo??
 
Lee Kuan Yew alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa Singapore kupitia chama cha PAP na katiba ya Singapore haina ukomo wa madaraka kwa waziri mkuu.
Hata Museveni huchaguliwa.
 
Changamoto za demokrasia zina dhihirisha kwamba wananchi siku zote hawawezi kuaminiwa kufanya maamuzi sahihi Kwa taarifa walizonazo. Kwa mfano, kwenye chaguzi yoyote wananchi wanafanya maamuzi kutokana na taarifa wanazopata kutoka Kwa vyombo vya habari lakini ila kufanya maamuzi sahihi kuhusu uongozi, wananchi takiwa kufahamu zaidi ya wanacho kiona kwenye runinga. Yaani, maisha binafsi ya wanasiasa ni muhimu katika kufahamu kama wanaweza kuwa viongozi bora. Demokrasia pia huja na urasimu mkubwa katika kufanya maamuzi kwasababu ya mchakato mrefu wa maoni ya watu wengi hata katika kipindi ambacho uhakika wa maamuzi upo. Ila udikteta nao unaweza ukawa na madhara makubwa sana ambayo yanaingilia maisha ya watu ya kila siku tofauti na siasa tu. Ila akipatikana dikteta ambaye ni "benovalent" aliye zungukwa na team imara, maamuzi hufanyika haraka na uendeshaji wa nchi huwa rahisi
 
Demokrasia kwako ina maana gani??

Mfano wa nchi gani ambazo unafikiri zina Demokrasia?
 

Mfano mzuri ni Tanzania.

We are better off ecoomically now than 40 years ago ambapo tulikuwa hatuja-adopt huu mfumo wa demokrasia.

Anglia after the fall of the Soviet Union. Nchi zote zilizo-adopt democracy zina maendeleo makubwa sana compared na zamani wakati wa dictatorship

Baltics, Hungary, Czech, Slovakia, Chile, Estonia Costa Rica etc.

Hizi n baadhi ya nchi ukiangalia before aingie kwenye democracy na baada mambo ni tofauti sana.
 
Mfano wa nchi gani ambazo kwako zimekuwa na Demokrasia zikapatwa na hizo changamoto?
 
Hivi kusema dikteta awe mwadilifu na mcha Mungu siyo contradiction?

Dikteta ni mtu ambae anachoamua yeye tu ndiyo kifanyike, hakuna kushauriwa.

Ni uadilifu gani wa kudhani wewe ndiyo una akili kuliko watu wote?

Dikteta ni lazima awaue wanaompinga na kumkosoa, ni uchamungu gani wa kuchinja wanaokukosoa?

Inawezekanaje Dikteta awe mwadilifu na mcha Mungu?
 
🤣🤣🤣🤣 Hapo kila siku ugomvi maana mpinzani wako inaonekana kuwa nayeye ana nguvu ktk jamii so Kesho na Kesho kutwa mkienda tofauti anawaingiza wafuasi wake mitaani nchi inakuwa na chaos
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…