Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Maendeleo yatakuja kutokana na maono na usimamizi wa huyo Dikteta !
Hili jina Dikteta ni jina la kuwahadaa watu ili waingie mkenge kama walivyoingia watu wa Libya !
Hakuna anayehadaika bwana. Vitu viko open.
Kwanini tuweke our destiny kwa mtu mmoja? Maana yake unataka tubahatishe?
Huyo mtu akiwa mjinga maana yake anapeleka taifa zima matopeni. Sasa ndo ujinga gani huo mkuu?
Waafrika mna reasons zenu nyingine za kutokuendelea na zinajulikana lakini msianze kusingizia demokrasia.
Mababu zenu na falme zenu za kizamani mbona hawakuwa wanafuata mfumo huu wa kidemokrasia na bado walikuwa wanajsaidia vichakani hata vyoo walishindwa kutengeneza?
Huo ni uvivu wa kufikiri