Demokrasia ni hitaji la Wanasiasa tu. Wananchi Hitaji lao kubwa ni Maendeleo


Sasa unapinga nini? Huko kudai umeme, na maji ndio de,okrasia yenyewe. Yaani demokrasia inakupa nafasi ya kudai haki yako au hitaji lako toka kwa serikali au kiongozi. Bila demokrasia hiyo nafasi ya kudai huna! Kwani nyie wenzetu akili za kufikiri mmeweka kwenye chumba gani cha giza pale Lumumba?
 
Kama wananchi hahitaji demokrasia anahitaji maendeleo, basi hatukuwa na sababu ya kuomba uhuru.
 
Maendeleo ni tawi la demokrasia!
Wakati mwingine ukiwaza Sana unaweza kumkufuru Mungu. Watu wengine kawapa miili mikuuubwa akili kiduchu. Kama demokrasia si hitaji la wananchi Kwa nini wanakwenda kupiga Kura? Nani Yuko tayari kupiga Kura kumchagua Johnthebaptist halafu Kura yake akaona imehesabiwa Kwa Bila bila?
 
Itamsaidia nini mwananchi kuwa na Uhuru wa kumchora Rais na Kumtukana atakavyo na huku hakuna Huduma za muhimu kama Elimu, Hospitali, Miundo Mbinu, Umeme na Maji?

Umelitazamia swala hilo katika upande huo tuu,
ambao nimchache kuliko upande wapili ambao unamengi yafaida kwa wananchi na kwa maendeleo ya nchi.
 
Umechanganya mambo hata demokrasia hairuhusu kumchora Rais au mtu yeyeto kwa nia ya kumdhalilisha.
 
Sasa kutukanwa kwa raisi au kuchorwa kwa raisi kunausiana nn na maendeleo kama kiongozi umeomba uongoze watu ukatoa ahadi zako umo umo kuna watu hawajakuunga mkono lkn ukishinda unaongoza wote kwaiyo lazma kuwepo na upinzan wa maneno kukosolewa na mengine wanaovuka mipaka sheria zipo na yani nchi ishindwe kuendelea kwa sababu ya kikundi au watu fulan kumtukana raisi au kumkosoa
 
Kazi ya Raisi ni kupambana na umaskini na kero za wananchi. Sio ufisadi wala mambo ya kupeana vyeo vya hisani!
 
Ukiwa na uwezo Mdogo wa kufikiri ndo utapambana na watu kwa kiongozi civilized ashughuliki na kelele za chura kwenye maji
 
Nlidhani ungekuja na hoja. But pia Demokrasia ni kutoa uhuru kwa kila mtu atoe ya moyoni mwake. Wewe ukiona aliyetoa wazo hili ni taahira na hapo huna madaraka ukiwa na madaraka si utasema anayeamini kinyume nawe auawe? Nlikuwa nataka kupima uwezo wa uelewa wa demokrasia na uhuru wa kutoa mawazo. Nimegundua hata wanaozungumzia demokrasia au uhuru wa mawazo hawataki wenzao watoe mawazo yao. 😁😁😁😁

Wazazi tuna changamoto sana, yani ukiulizwa una watoto wangapi na taahira kama huyu utamuhesabu?

 

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…