Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Kwenye demokrasia hakuna kitu cha maana huwa kinafanyika. Mnaishia tu kuwa na viongozi waongeaji sana na waongo waongo.
Wanaotatua matatizo kwa maneno na si matendo. Watu wa zamani waliona kabisa ubaya wa huu mfumo. Leo nchi yetu imejaa wapiga maneno, matapeli na waongo-waongo.
Mtu anaweza sema hatuna demokrasia ya kweli lakini kwenye demokrasia ya "kweli" hali ndiyo huwa mbaya hata zaidi.
Rais wa FIFA aliwahi sema kuwa huwa wanaorganize kombe la dunia kirahisi sana iwapo nchi ina strong man.
Mwanazuoni mmoja wa kale alipinga demokrasia kwa kusema kuwa, "Kama mnatafuta nahodha wa meli, mtapiga kura kumchagua au mtatafuta mtaalamu wa kazi hiyo?"
Demokrasia ni janga.
Wanaotatua matatizo kwa maneno na si matendo. Watu wa zamani waliona kabisa ubaya wa huu mfumo. Leo nchi yetu imejaa wapiga maneno, matapeli na waongo-waongo.
Mtu anaweza sema hatuna demokrasia ya kweli lakini kwenye demokrasia ya "kweli" hali ndiyo huwa mbaya hata zaidi.
Rais wa FIFA aliwahi sema kuwa huwa wanaorganize kombe la dunia kirahisi sana iwapo nchi ina strong man.
Mwanazuoni mmoja wa kale alipinga demokrasia kwa kusema kuwa, "Kama mnatafuta nahodha wa meli, mtapiga kura kumchagua au mtatafuta mtaalamu wa kazi hiyo?"
Demokrasia ni janga.