Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SAFI!Iyo ndo sera yangu maana kama kuwagonga nawagonga mpaka wanang'ang'ania
Nafikiri naweza mfanya ngazi kama nitaona hio fursa hio kwenye mahusiano yetuKuwa mtoto wa kigogo hakumfanyia yeye kuwa kigogo hivyo usiitumie sana kuwa kama kigezo.
Maandazi ya nazi yatafaa mkuuMenye vitafunwa jaman
Hili ndo nataka kulizingatiaKaa naye mda kidogo umsome, huenda anataka kumuonyeshea dogo maana ni ngumu kukupenda kiharaka hivyo.
Tea bila sugar, majani utayakuta chini.Wanajamvi, salaam!
Iko hivi nina mdogo wangu (rafiki) naishi nae kwakua anaumwa, tunaheshimiana sana. Tunaishi kisela kila mmoja anaweza kuleta demu wake maghetoni.
Dogo ana mademu watatu ambao najua yupo active nao na wote wanakujaga maghetoni kwa wakati tofauti, sasa kumbe ana wa nne ambaye hawako active kabisa ila ni mtoto wa aliyekua kigogo, kigogo sio wa twitter hapana yule wa mchongo huyu ni kigogo kweli hapa nchini.
Story ilikua hivi, nilikua job dogo akanipigia simu kwamba kuna mgeni anakuja nikasema fresh unajua chakufanya make sure unamkarimu fresh by then anajina gumu nilidhani ni msela tuu kumbe demu wake bana.
Akamzuia asiende mpaka anione so nafika maskani nakutana na mgeni ile kuangaliana tuu nikamuona demu kashtuka macho ya mahaba yakapepesuka kila nnapoenda ananitazama mi nikausoma mchezo nikavunga.
Akawa wakwanza kuniuliza jina langu nikamwambie then akataka namba yangu kwa madai atahitaji kununua bidhaa kwangu (dogo alimwambia nafanya biashara pia) yoote haya yanafanyika mbele ya dogo na dogo amekaa kimyaaa.
Demu akaniuliza mbele ya dogo if am single nikasita kujibu baada ya kuinsist nikasema nipo single, niliporidisha swali kwake akanijibu kua yupo kwenye uhusiano complicated, Dogo ikabidi achomoke atuache wawili sikuelewa nikapunguza mzuka.
Alipo ondoka dogo akanisimulia kua ni demu wake tena alikua yeye dogo anahudumiwa mno na huyo demu ila sasa wamepotezeana tuu from no where nikasema okay. So alipofika tuu kwao akanitext amefika salama alipoona kimya akani call kunijulisha, wakati dogo hajapewa taarifa yoyote.
Simu ya pili kunipigia ilikua inakaribia saa tano ndipo alipofunguka kile kilichomkuta naliponiona mara ya kwanza, na anamimi mimi ni mume wake kwani anahitaji kua kwenye ndoa ila haoni mwelekeo na dogo wala hao aliokua nao, hivo ananihitaji katika maisha yake.
Nilicho mjibu nikwamba nime divorce na nna watoto wa wili so na yeye ni binti mdogo. Je, e ataweza kulea watoto si wake akanijibu watoto ni malaika na hawezi nihukumu kwa hilo kwasababu mistakes happens kwenye maisha.
Mtihani kwangu ni huu, haka kademu "we share same religion" ( ex wife nilimbadilisha) sasa hana dini, na kwakua nilioa sehemu maskini before nikijua maskini wanafadhila kumbe ni hovyo sasa huyu ni waki shua, naona anaelekea kukidhi vigezo vya awali.
Shida ipo kwa dogo atanionaje? Nikimuuliza kuhusu status ya mahusiano yao anasema kwakua demu hamshobokei na yeye hana muda nae zaidi ya hao wengine wanaomshobokea. Najua akijua ataumia maana ana miwivu ya ajabu ajabu sasa sijui mnanishauri vipi wanajamvi?
Watoto wapo kwa mama yao ivo mi naishi kisela tuuLabda kama dogo lako ni don't care
Unless otherwise itakuwa inamuuma hata asipokuambia
Alafu na hao watoto wako wawili wapo wapi?
Mkuu niamini mi sijapindua meza ila demu mwenyewe kaelewa mzikii maana nami sifa za mvuto kwa mademu kimtindo nnazo so sishangai hasa kuoendwa na mashemejWewe ni muongo umemuibukia tu demu wa mdogoako unataka kumpindua. Sio kwamba yeye kakuibukia,sijui nini nini.
Pili usitegemee hicho alichonacho huyo kigogo. Akiondoka kwa babaake tayari nae atakuwa na maisha yake.
Au mfuate in bobo Deep Pond ndio ana uzoefu na kupinduana meza
Hii chai ya pilipili mkuuTea bila sugar, majani utayakuta chini.
Sijaoa shem bwana dogo mwenyewe anamademu wengi mpaka anawashindwaYaani sawa umeoa shem wako tu, hakuna jipya wala la ziada
Dogo anataka vyote wakati haviwezikuwa makini muulize dogo kwanza kwann hana habari na huyo demu usije ingia cha kike
Amini lisilowezekana kwako kwamwenzako ni desturi