Demu wa mdogo wangu kanifungukia, nipo njia panda!

Demu wa mdogo wangu kanifungukia, nipo njia panda!

Mojawapo ya codes za wanaume Ni usithubutu kutongoza demu ama ex wa rafiki yako.We jamaa naona Kama unataka kuvunja hiyo bro code na utakuwa umekosea Sana.

Hapo utakuwa umeharibu uhusiano wako na huyo mdogo wako na mtaishi Kama maadui siku zote.
Wewe mpotezee huyo demu Kisha tafuta mwingine ukaoe.
 
Mojawapo ya codes za wanaume Ni usithubutu kutongoza demu ama ex wa rafiki yako.We jamaa naona Kama unataka kuvunja hiyo bro code na utakuwa umekosea Sana.

Hapo utakuwa umeharibu uhusiano wako na huyo mdogo wako na mtaishi Kama maadui siku zote.
Wewe mpotezee huyo demu Kisha tafuta mwingine ukaoe.
Mwanangu umenitachi kinoma
 
Ulioa sehemu masikini


So ukatumia utajir wako kumtesa masikini


Malipo hapahapa duniani oa huyo utombewe na dogo
Sijasema mm tajiri ila nilioa sehemu maskini na sasa kaja mtoto kwao matajiri naona haitakua tabu... kuhusu kutombewa si tatizo kwani nani asiyetombewa??
 
Mkuu niamini mi sijapindua meza ila demu mwenyewe kaelewa mzikii maana nami sifa za mvuto kwa mademu kimtindo nnazo so sishangai hasa kuoendwa na mashemej
Haya fanya maneno tumekuelewa. Lakini Tutakuamini vipi kwamba una mvuto, bila picha uliyosimama,tuone na miguu kama unavutia kweli. Hiyo picha haraka ili usaidiwe kwa haraka
 
Haya fanya maneno tumekuelewa. Lakini Tutakuamini vipi kwamba una mvuto, bila picha uliyosimama,tuone na miguu kama unavutia kweli. Hiyo picha haraka ili usaidiwe kwa haraka
Nnayo niliyosimamisha mguu mmoja vip ni post??
 
Yaan story yako haina tofauti na demu mwenye miguu yote ya kushoto.
 
Wanajamvi, salaam!

Iko hivi nina mdogo wangu (rafiki) naishi nae kwakua anaumwa, tunaheshimiana sana. Tunaishi kisela kila mmoja anaweza kuleta demu wake maghetoni.

Dogo ana mademu watatu ambao najua yupo active nao na wote wanakujaga maghetoni kwa wakati tofauti, sasa kumbe ana wa nne ambaye hawako active kabisa ila ni mtoto wa aliyekua kigogo, kigogo sio wa twitter hapana yule wa mchongo huyu ni kigogo kweli hapa nchini.

Story ilikua hivi, nilikua job dogo akanipigia simu kwamba kuna mgeni anakuja nikasema fresh unajua chakufanya make sure unamkarimu fresh by then anajina gumu nilidhani ni msela tuu kumbe demu wake bana.

Akamzuia asiende mpaka anione so nafika maskani nakutana na mgeni ile kuangaliana tuu nikamuona demu kashtuka macho ya mahaba yakapepesuka kila nnapoenda ananitazama mi nikausoma mchezo nikavunga.

Akawa wakwanza kuniuliza jina langu nikamwambie then akataka namba yangu kwa madai atahitaji kununua bidhaa kwangu (dogo alimwambia nafanya biashara pia) yoote haya yanafanyika mbele ya dogo na dogo amekaa kimyaaa.

Demu akaniuliza mbele ya dogo if am single nikasita kujibu baada ya kuinsist nikasema nipo single, niliporidisha swali kwake akanijibu kua yupo kwenye uhusiano complicated, Dogo ikabidi achomoke atuache wawili sikuelewa nikapunguza mzuka.

Alipo ondoka dogo akanisimulia kua ni demu wake tena alikua yeye dogo anahudumiwa mno na huyo demu ila sasa wamepotezeana tuu from no where nikasema okay. So alipofika tuu kwao akanitext amefika salama alipoona kimya akani call kunijulisha, wakati dogo hajapewa taarifa yoyote.

Simu ya pili kunipigia ilikua inakaribia saa tano ndipo alipofunguka kile kilichomkuta naliponiona mara ya kwanza, na anamimi mimi ni mume wake kwani anahitaji kua kwenye ndoa ila haoni mwelekeo na dogo wala hao aliokua nao, hivo ananihitaji katika maisha yake.

Nilicho mjibu nikwamba nime divorce na nna watoto wa wili so na yeye ni binti mdogo. Je, e ataweza kulea watoto si wake akanijibu watoto ni malaika na hawezi nihukumu kwa hilo kwasababu mistakes happens kwenye maisha.

Mtihani kwangu ni huu, haka kademu "we share same religion" ( ex wife nilimbadilisha) sasa hana dini, na kwakua nilioa sehemu maskini before nikijua maskini wanafadhila kumbe ni hovyo sasa huyu ni waki shua, naona anaelekea kukidhi vigezo vya awali.

Shida ipo kwa dogo atanionaje? Nikimuuliza kuhusu status ya mahusiano yao anasema kwakua demu hamshobokei na yeye hana muda nae zaidi ya hao wengine wanaomshobokea. Najua akijua ataumia maana ana miwivu ya ajabu ajabu sasa sijui mnanishauri vipi wanajamvi?
Wewe ni storyteller mzuri
 
Matatizo yanakunyemelea. Ukimgusa tu huyo dada, hata kama usipo muoa tayari utakuwa umejiingiza katika matatizo ambayo utajuta baadae.

Chagua furaha, chagua amani. Mpotezee...yaani mwambie kabisa apite hivi......
 
Wanajamvi, salaam!

Iko hivi nina mdogo wangu (rafiki) naishi nae kwakua anaumwa, tunaheshimiana sana. Tunaishi kisela kila mmoja anaweza kuleta demu wake maghetoni.

Dogo ana mademu watatu ambao najua yupo active nao na wote wanakujaga maghetoni kwa wakati tofauti, sasa kumbe ana wa nne ambaye hawako active kabisa ila ni mtoto wa aliyekua kigogo, kigogo sio wa twitter hapana yule wa mchongo huyu ni kigogo kweli hapa nchini.

Story ilikua hivi, nilikua job dogo akanipigia simu kwamba kuna mgeni anakuja nikasema fresh unajua chakufanya make sure unamkarimu fresh by then anajina gumu nilidhani ni msela tuu kumbe demu wake bana.

Akamzuia asiende mpaka anione so nafika maskani nakutana na mgeni ile kuangaliana tuu nikamuona demu kashtuka macho ya mahaba yakapepesuka kila nnapoenda ananitazama mi nikausoma mchezo nikavunga.

Akawa wakwanza kuniuliza jina langu nikamwambie then akataka namba yangu kwa madai atahitaji kununua bidhaa kwangu (dogo alimwambia nafanya biashara pia) yoote haya yanafanyika mbele ya dogo na dogo amekaa kimyaaa.

Demu akaniuliza mbele ya dogo if am single nikasita kujibu baada ya kuinsist nikasema nipo single, niliporidisha swali kwake akanijibu kua yupo kwenye uhusiano complicated, Dogo ikabidi achomoke atuache wawili sikuelewa nikapunguza mzuka.

Alipo ondoka dogo akanisimulia kua ni demu wake tena alikua yeye dogo anahudumiwa mno na huyo demu ila sasa wamepotezeana tuu from no where nikasema okay. So alipofika tuu kwao akanitext amefika salama alipoona kimya akani call kunijulisha, wakati dogo hajapewa taarifa yoyote.

Simu ya pili kunipigia ilikua inakaribia saa tano ndipo alipofunguka kile kilichomkuta naliponiona mara ya kwanza, na anamimi mimi ni mume wake kwani anahitaji kua kwenye ndoa ila haoni mwelekeo na dogo wala hao aliokua nao, hivo ananihitaji katika maisha yake.

Nilicho mjibu nikwamba nime divorce na nna watoto wa wili so na yeye ni binti mdogo. Je, e ataweza kulea watoto si wake akanijibu watoto ni malaika na hawezi nihukumu kwa hilo kwasababu mistakes happens kwenye maisha.

Mtihani kwangu ni huu, haka kademu "we share same religion" ( ex wife nilimbadilisha) sasa hana dini, na kwakua nilioa sehemu maskini before nikijua maskini wanafadhila kumbe ni hovyo sasa huyu ni waki shua, naona anaelekea kukidhi vigezo vya awali.

Shida ipo kwa dogo atanionaje? Nikimuuliza kuhusu status ya mahusiano yao anasema kwakua demu hamshobokei na yeye hana muda nae zaidi ya hao wengine wanaomshobokea. Najua akijua ataumia maana ana miwivu ya ajabu ajabu sasa sijui mnanishauri vipi wanajamvi?
Heeee
 
Matatizo yanakunyemelea. Ukimgusa tu huyo dada, hata kama usipo muoa tayari utakuwa umejiingiza katika matatizo ambayo utajuta baadae.

Chagua furaha, chagua amani. Mpotezee...yaani mwambie kabisa apite hivi......
Mhh ebu funguka mkuu
 
Back
Top Bottom