Demu wa mdogo wangu kanifungukia, nipo njia panda!

Kaa naye mda kidogo umsome, huenda anataka kumuonyeshea dogo maana ni ngumu kukupenda kiharaka hivyo.
 
Labda kama dogo lako ni don't care

Unless otherwise itakuwa inamuuma hata asipokuambia

Alafu na hao watoto wako wawili wapo wapi?
 
kuwa makini muulize dogo kwanza kwann hana habari na huyo demu usije ingia cha kike
 
Tea bila sugar, majani utayakuta chini.
 
Wewe ni muongo umemuibukia tu demu wa mdogoako unataka kumpindua. Sio kwamba yeye kakuibukia,sijui nini nini.
Pili usitegemee hicho alichonacho huyo kigogo. Akiondoka kwa babaake tayari nae atakuwa na maisha yake.
Au mfuate in bobo Deep Pond ndio ana uzoefu na kupinduana meza
 
Mkuu niamini mi sijapindua meza ila demu mwenyewe kaelewa mzikii maana nami sifa za mvuto kwa mademu kimtindo nnazo so sishangai hasa kuoendwa na mashemej
 
Ulioa sehemu masikini


So ukatumia utajir wako kumtesa masikini


Malipo hapahapa duniani oa huyo utombewe na dogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…