Phlagiey
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 3,487
- 1,661
yani unaenda kwake na buku tano?
afu hiyo ni ya kuanzia mishe zako asubuhi unachekesha
kuna haja ya kuwapokea na mabusu mlangoni mikono ndani ya mifuko yenu kuwapiga sachi haki a mama
Shemeji kwema lakini???