Demu wangu kaniibia buku 5

Demu wangu kaniibia buku 5

ameiba au amechukua? mwanaume mzima unakuja kulalamika humu eti umeibiwa buku 5! majanga! chumba atafute yeye, kodi alipe mwenyewe, kitanda anunue mwenyewe godoro na mashuka kanunua mwenyewe wewe unapeleka map.........bu yako tu na ka elfu 5 mfukoni! ila sikulaumu sana inawezekana wewe si mwanaume ila ni mtoto wa kiume. elfu tano unaanzisha uzi hapa! nimesikitika sana ungekuwa karibu ningekuzaba kofi

huyo ni kama yule wa Khantwe anayemlalamikia hapa https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/639028-atayaweza-majukumu-huyu-kweli.html
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha yani kweli demu umhudumie kila kitu afu aibe buku tano?
afu kama una uwezo wa kumhudumia kila kitu buku tano inaweza kuwa ishu hadi uitolee thread?
mmh kama kuna chai hapa....
hukujua nilikuwa nina hesabu nayo kivipi,kumhudumia kila kitu haimaaanishi niipuuze buku 5
 
jamani wakati mwingine muwe mnaficha dhiki na ujinga wenu. sasa wataka huku jamvini watu wafanyeje?
mnajaza server for nothing. kwani usiiweke hii ikawa status fb ili nako wakusaidie?
ipeleke wewe mkuu
 
umerudishiwa elf5 kwa taxi, umelala unaitafuta asubuhi, je usiku hamkula? je mlo wa usiku gharama sh ngapi? au unalelewa? je kulala ilikuwa bure?uyo mtu wako ulivoamka alikuambiaje?ukute hapakuwa na sabuni kaona uendelee na usingzi kachukua iyo pesa direct kwa mangi, sabuni ya unga ya kupima 2,500/= , ya kuoga, mswaki na soap dish special kwa mgeni 3,100/= badala ya ulivoamka kumpa deni la sh 100 unakuja kuleta ujinga uku? sijui vijana wa siku izi mnataka ndoa za rangi gani?

Ni aibu kudai iyo ela kwa mtu uliyelala naye wakati hata thamani ya perfume moja haifiki...ni aibu na dharau kwa mabinti zetu! kama hamuwezi kugharamia nyie kadili na wale mashuga mamy!
hongera binti yangu kwa kumliza mkoloni!!!!!!!
mumeo kazi anayo!
 
Hivi ni njaa au?sijamuona kama wiki 2 hivi nilikuwa safarini,jana nafika tu dodoma nikadaka tax breki ya kwanza kwake,nikarudishiwa buku 5 na dereva tax,nikajua ndo kianzio cha asubuhi ninapoenda kwenye mihangaiko yangu,nimelala kwake,naamka asubuhi siioni!! au panya wameiba?sijamuuliza.
Aaaah...Hizo mbona kidogo sana, Unamaana hata za lotion hukuwaunampa? Wacha aibu mkuu.
 
Mkuu pole, inaonekana hata wewe utakuwa na njaa.

Chukua hizi hapa upunguze machungu, usilielie...


tanzania-2011-500.jpg

TZ44.JPG
TZ41.JPG
TZ43.JPG
TZ42.JPG

TSHs 37000/=, zitamsaidia ila akienda kula kwa demu wake zitaisha baada ya siku3, demu anachua buku5 mwenyewe anaanza maisha na buku5.
 
Maniner i wish ningekuwa mm nfo huy dem wako ungejuta kunfahamu
 
sasa...we unamtetea mwizi?.....sawa kila kitu chake..ndo uhalali wa kumpiga mwana ndole?...afu nshaanza kuisi we mpigaji pia..huwezi tetea wizi hadharani!
 
Hivi ni njaa au?sijamuona kama wiki 2 hivi nilikuwa safarini,jana nafika tu dodoma nikadaka tax breki ya kwanza kwake,nikarudishiwa buku 5 na dereva tax,nikajua ndo kianzio cha asubuhi ninapoenda kwenye mihangaiko yangu,nimelala kwake,naamka asubuhi siioni!! au panya wameiba?sijamuuliza.

wee nae acha ubahili buku tano uje kumdhalilisha nayo mtu jf?? fanya km uliidondosha
 
Back
Top Bottom