Dena Amsi asema "Mimi na Mr Rocky sasa basi"

Mkuu mimi ndiye Makamu Mwenyekiti wa Ndoa hapa Chit Chat....sasa naomba ujipime yale maneno yako ya mwanzo kuwa mie ndio niliidhinisha.

 
Mkuu mimi ndiye Makamu Mwenyekiti wa Ndoa hapa Chit Chat....sasa naomba ujipime yale maneno yako ya mwanzo kuwa mie ndio niliidhinisha.

Sasa watu8 mawasiliano yote yalipita kwako na uliona malovi davi yakiwa yanaendelea we mpaka umeona manyonya hujajua tuu kuwa kuku kashaliwa
Au mpaka uone na mfupa wa huyo kuku
 
Last edited by a moderator:


Mh!! hivi hapa nani bachela? by the way mbona huyu mama yangu Mamndenyi hakuniambia? ni kweli kuwa Mr Rocky unalelewa?
 
Last edited by a moderator:
Hahaha hatimaye umegundua wapi iko na mushkeli eenh...haya bwana mapenzi mema na mkeo mpya

Sasa watu8 mawasiliano yote yalipita kwako na uliona malovi davi yakiwa yanaendelea we mpaka umeona manyonya hujajua tuu kuwa kuku kashaliwa
Au mpaka uone na mfupa wa huyo kuku
 
Mh!! hivi hapa nani bachela? by the way mbona huyu mama yangu Mamndenyi hakuniambia? ni kweli kuwa Mr Rocky unalelewa?
Lucas hayo mambo ya kulelewa unayajua wewe ila mimi najua mimi na Mamndenyi nifamily moja na tunapendana mengine yaache yakae kama yalivyo
Ndo unapewa taarifa hivyo aise

Hahaha hatimaye umegundua wapi iko na mushkeli eenh...haya bwana mapenzi mema na mkeo mpya
watu8 afadhali umekubali bana achana na akina Baba V sijui erickb52 na mwenzake Mungi
 
Hahahah...fuata taratibu tu, lakini wao ndio wenye uamuzi wa mwisho, mimi nipo kando nafaidi vyangu na mke wangu

Itifaki inazngatiwa. Tayari nimezaa na mwanao mkubwa
 
Kiongozi wangu Baba V hii habari ni njema sana. kwanza nilikuwa najiuliza imekuwaje mpaka dadangu Dena Amsi akaangukia kwa sharobaro Mr Rocky sikupata jibu. kinachomponza Mr Rocky ni tabia yake ya kuwakwarua wanakwaya wenzake. yaan mwanakwaya ambaye hajarushiwa neno na Mr Rocky nakuambia lazima akaoge na chumvi au aende kwa babu.
Hongera Dena Amsi kwa uamuzi mzuri. Nipo kwenye mchakato wa kumkomboa Mamndenyi kutoka kwenye mikono ya sharo
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…