watu8 napata mashaka na wewe kama hukuwa kwenye race za kumpata Mamndenyi sasa amekuponyoka naona unaleta maneno miiingi kama treni ya kigoma Mamndenyi humpati tena shakuwa wangu hapa wewe may be hangaika na Dena Amsi au Madame B aliyetemwa na Chimbuvu nahapo ujue Arushaone anamtaka Dena Amsi kwa njia yoyote na Erickb52 na Mungi na Baba V wako kwenye msafara huo huo wa kumpenda Dena Amsi
So kama unauweza mpambano ingia huko watu8
Mkuu mimi ndiye Makamu Mwenyekiti wa Ndoa hapa Chit Chat....sasa naomba ujipime yale maneno yako ya mwanzo kuwa mie ndio niliidhinisha.
Baba V mbona unazunguuka sana mara ubungo mara mbezi mara kimara mara masaki
Tulia sehem moja uongee
Kwa taarifa yako wakati uko jela kuna ndoa imefungwa hapa kati ya Mr Rocky na Mamndenyi na kwa sasa tuko honeymoon na my darling wangu Mamndenyi so hayo ya Dena Amsi yalishapitwa na wakati
Yeye Dena Amsi kwa sasa kwa taarifa nilizo nazo yuko na Erickb52 na kwa habari zilizopo ni kuwa Erickb52 kahamia kabisa kwa Dena Amsi analelewa
Hivyo napenda kuutangazia umma kuwa kwa sasa niko kwenye ndoa na Mamndenyi na tuko honeymoon kwenye visiwa ambapo hapa tunasikia sauti za maji ya bahari tuu na ndege wanaoimba kwa sauti nzuri na hapa pembeni kuna mvinyo laini sana
My darling Mamndenyi hebu watuache zima na hizo simu na computer kabisa sitaki email wala mawasiliano yoyote achana na hawa akina Baba V wanadeep deep hapa
Copy kwa Vin Diesel, Mungi, Erickb52, Nicas Mtei. Ruhazwe JR
Sasa watu8 mawasiliano yote yalipita kwako na uliona malovi davi yakiwa yanaendelea we mpaka umeona manyonya hujajua tuu kuwa kuku kashaliwa
Au mpaka uone na mfupa wa huyo kuku
Lucas hayo mambo ya kulelewa unayajua wewe ila mimi najua mimi na Mamndenyi nifamily moja na tunapendana mengine yaache yakae kama yalivyo
watu8 afadhali umekubali bana achana na akina Baba V sijui erickb52 na mwenzake MungiHahaha hatimaye umegundua wapi iko na mushkeli eenh...haya bwana mapenzi mema na mkeo mpya
ah!!! mkuu, nilitaka kukosea nigonge like ila nimeahirisha.... kwanza mahari alipokea nani??
Mtoto wake Ruhazwe JR sasa kama hakuyaleta kwenye familia hayo yake mi sijui ila alipokea yote
Mtoto wake Ruhazwe JR sasa kama hakuyaleta kwenye familia hayo yake mi sijui ila alipokea yote
haha huyu Ruhazwe JR si ndio tulikaa kikao cha ukoo kuhusu kale ka zawadi ka charming lady alikokimbia nako?
Hahahah...fuata taratibu tu, lakini wao ndio wenye uamuzi wa mwisho, mimi nipo kando nafaidi vyangu na mke wangu