Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Mkuu mimi ndiye Makamu Mwenyekiti wa Ndoa hapa Chit Chat....sasa naomba ujipime yale maneno yako ya mwanzo kuwa mie ndio niliidhinisha.
watu8 napata mashaka na wewe kama hukuwa kwenye race za kumpata Mamndenyi sasa amekuponyoka naona unaleta maneno miiingi kama treni ya kigoma Mamndenyi humpati tena shakuwa wangu hapa wewe may be hangaika na Dena Amsi au Madame B aliyetemwa na Chimbuvu nahapo ujue Arushaone anamtaka Dena Amsi kwa njia yoyote na Erickb52 na Mungi na Baba V wako kwenye msafara huo huo wa kumpenda Dena Amsi
So kama unauweza mpambano ingia huko watu8