- Thread starter
- #661
dah! kwanza niambie ilikuwwaje ukamuacha mandeny??
Tulikubaliana na Dena Amsi kusameheana ba kurudi kwenye mstari wa ndoa na kuheshimu ndoa maana tulishakula kiapo na chapaswa kuheshimiwa na tulee familia na nikaona ni uamuzi wa busara n mojawapo ya sharti ni kuachana na nyumba ndogo zote na kila aina ya baya na kusameheana na kufuta kumbukumbu zote za mabaya ya zamani ndo maana tukakubaliana kurudiana
Sasa hapo wewe ambaye unatuusia kudumisha ndoa na viapo vyetu kulikuwa na kosa au kulikuwa na haja ya kuendelea na nyumba ndogo wakati mshakubaliana na mwenzako
Sikuwa na namna zaidi ya kumwambia wazi Mamndenyi kuwa huu haukuwa uhusiano as long as ndoa yangu haikuvunjika kabisa was just separation na nilikuwa na haki ya kurudiana na Dena Amsi and that what we agree.
Je hili ni kosa mpaka Baba V atangaze kuwa sisi na Vin Diesel tuna makosa
Last edited by a moderator: