Dena Amsi na Mr Rocky

Mamndenyi sijui atakua katika hali gani muda huu. Nadhani ni muda muafaka na yeye kunitafuta ili tuweze kuwa pamoja kwa kipindi chote kilichobaki. Mamndenyi mlango upo wazi, hayatatokea yaliyotokea kati yako na Mr Rocky.

I waiting for you my dear.
 
Last edited by a moderator:

Kwa kweli nimepokea kwa masikitoko hii taarifa... Mr Rocky hebu fikiria mara mbili mbili!!!
 
Last edited by a moderator:
Bwana shem naona umekaa kimya kama vile hujui alichonitenda Asnam nikiwa jela, kama ameweza kuutendea hivi mti mbichi itakuaje kwa mti mkavu....!????

Amekutenda nini mdogo wangu??? Si haba utakuwa umemuanza...halahala, usinifanye nifunge safari kutoka uku M23 nije bongo #beWARNED
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…