Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Kupeleka KenyaUpuuzi upi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupeleka KenyaUpuuzi upi?
Wewe ulitakaje?Kupeleka Kenya
Kwa kuwa utaalamu wa hii kitu upo ndani ya nchi wangetumika wataalamu wetu na makampuni yetu.Wewe ulitakaje?
Kwani Barabara tunazowapa wachina hakuna utaalamu ndani ya Nchi?Kwa kuwa utaalamu wa hii kitu upo ndani ya nchi wangetumika wataalamu wetu na makampuni yetu.
Unaamini kwamba gharama za ndani zilikuwa kubwa kwa ukarabati?, je tenda wakati inatangazwa ulishuhudia hilo?Kwani Barabara tunazowapa wachina hakuna utaalamu ndani ya Nchi?
Kinachoamua ni gharama za ujenzi,utaalamu unaweza upata popote Duniani.
Mimi nishuhudie au ndio taarifa iliyotolewa na Temesa? Kama angetender less Kwa nini asishinde? Miradi haigawiwi Bali inashindanishwa kupata value for money..Unaamini kwamba gharama za ndani zilikuwa kubwa kwa ukarabati?, je tenda wakati inatangazwa ulishuhudia hilo?
IMimi nishuhudie au ndio taarifa iliyotolewa na Temesa? Kama angetender less Kwa nini asishinde? Miradi haigawiwi Bali inashindanishwa kupata value for money..
Nimekupa na mfano kwamba tuna kampuni nyingi za class 1 za ukandarasi kama Caspian wanaojenga Barabara ya njia 8 ila kazi nyingi anapata machina Kwa nini hupigi makelele?
Ndio maana mikopo tunayopewa Ina kiwango,huwezi kopeshwa til.3 na zaidi at once.
NdioKwaiyo Maskini ANAKOPESHEKA?
Au sisi ni MATAJIRI tunaoaminishwa kuwa tu MASKINI?
Kama sisi ni MATAJIRI nani ananufaika Kwa kutuaminisha WATANZANIA kuwa ni MASKINI?Ndio
Nani kasema ni matajiri?Kama sisi ni MATAJIRI nani ananufaika Kwa kutuaminisha WATANZANIA kuwa ni MASKINI?
Ok, kama ni TANZANIA ni MASKINI inakopeshekaje?Nani kasema ni matajiri?
Bond ya Nchi ni uwezo wa kulipa madeniOk, kama ni TANZANIA ni MASKINI inakopeshekaje?
Wanaweka BOND au DHAMANA ipi?
Kwa rate hii, tutakuwa tushapiga mnada Serengeti yote, lile dege kubwa litaenda Kilimanjaro kila mweziHadi 2025 serikali itakuwa imekopa Tril 100
MASKINI atoe wapi uwezo wa kulipa madeni?Bond ya Nchi ni uwezo wa kulipa madeni
Kasome SoMo la Public Finance na Financial Economics Utajua Nchi inafanyaje Kwa kesi ya Madeni.MASKINI atoe wapi uwezo wa kulipa madeni?
Tuambiwe mnabadilishana nn Kwa kukopeshwa?
Ndugai alisema NCHI itauzwa, Pana UKWELI wowote?
Sir Lank au CUBA mbona hazikopeshwi wavuke mabara Hadi huku mbali kutukopesha,Kasome SoMo la Public Finance na Financial Economics Utajua Nchi inafanyaje Kwa kesi ya Madeni.
Kwani deni la watu binafsi inalipa serikali? Huu uhuni tu. Wanataka sasa wakakope wahuni hawa kisha serikali ndio idaiwe. Mbona huko zamani awamu zote hatukuwahi kusikia deni la taifa kujumuisha madeni ya watu binafsi?Deni limeongezeka kwa Tril 4 ndani ya miezi 4
Deni halijumuishi Tril 1.3 ambayo tumekopa Mwezi uliopita kutoka WB
Deni hili ni la Serikali tu, tukijumlisha na lile la Sekta Binafsi linafika Tril 98
Maelezo zaidi
View attachment 2534658
May au june au mpaka July ?!Lifike 100.
Tuna kila kitu ambacho tungepaswa kuwa matajiri lakini mpaka sasa tunaitwa masikini kwa sababu hatujui au hatujaamua kuzitumia rasilmamali zetu ipasavyo na wanaotukopesha wanajuaukweli huo ndio maana hawana wasiwasi na sisi maana wanajua kama ni Bond tu zipo za kumwaga!! Pesa yao wataipata bila shida !!Kwaiyo Maskini ANAKOPESHEKA?
Au sisi ni MATAJIRI tunaoaminishwa kuwa tu MASKINI?