melusine8
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 6,299
- 7,746
Eee Mwenye Enzi Mungu muweza wa yote nina kuomba huruma yako iangaze nchi yangu Tanzania [emoji1241]
Uka waunguze watu wote wanao iujumu nchi yangu na kuendekeza matumbo yao na familia zao!
Nakuomba uwatume wale malaika wako wakuu wawili waje kuwa angamiza hiyo mijitu mpaka kizazi chao cha nne walahi nakuomba[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kama walivyo fanya Sodoma na Ghomora ninakuamini Mola wangu uta tenda. Aamina![emoji2972]
Uka waunguze watu wote wanao iujumu nchi yangu na kuendekeza matumbo yao na familia zao!
Nakuomba uwatume wale malaika wako wakuu wawili waje kuwa angamiza hiyo mijitu mpaka kizazi chao cha nne walahi nakuomba[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kama walivyo fanya Sodoma na Ghomora ninakuamini Mola wangu uta tenda. Aamina![emoji2972]