Wanakopa za safari HawaKutokana na deni la Taifa kuwa Shilingi Trilioni 91.03. Kila M-Tanzania anadaiwa Shilingi Milioni 1 na laki 5 Haya Wa-Tanzania tuchange kila mmoja wetu ili tupate kulipa Deni la Taifa. Mwenye kuwa na Ng'ombe,Mbuzi,nyumba mashamba na Vitu vingine auze ili tupate kulipa deni la Taifa letu Serikali ya CCM imeshindwa kulipa hayo madeni kila mwezi Madeni yanazidi kuongezeka kazi kweli ipo. Serikali ya CCM inakopa kila kukicha na pesa hazijulikani zinakwenda wapi? Lohh Majangaa makubwa nchi yetu itauzwa mpaka na Wananchi wake watauzwa kwa wingi wa madeni tunayo kopa kila kukicha.
Hajawahi kuwa serious huyu.Utasika,
Hili nalo nendeni mkalitazame
Hii nchi iko siku itauzwa tuNimeona hii habari huko tweeter. Mimeshika kichwa.. ndani ya mda mfupi sana awamu ya sita imekopa hadi imevunja record. Mama anaupiga mwingi.
View attachment 2441817
Serikali ya Chama kile kile cha Mambuzi.Tuko bize kupambana na marehemu ,nchi ya hovyo sana hiii
USSR
[emoji3][emoji3][emoji3] mkoroniMkoroni arudi tuu hakuna jinsi
Siyo daktari Ni dacta.Nchi inaongozwa na daktari mwenye akili kubwa, hakika chifu hangaya ana upiga mwingi
Tanzania Hakuna Tiss kuna genge la wahuni wa CCM hivyo usitegemee lolote hapoKama nchi hii kuna usalama wa Taifa basi ndo muda wao muafaka wa kuchukua hatua na kuliokoa Taifa.
Nchi inateketea mikononi mwao na wao wanaangalia Ila wakumbuke historian itawataja wao kwa kushindwa kutimiza wajibu wao mama/namba moja. Nchi imepoteza mwelekeo, wameingia majangiri na vibaka.
TISS, liokoeni hili Taifa. Msisahau zilitumika nguvu nyingi kuiunda Tanzania na sasa wahuni wanagawana rasilimali za nchi yetu, urithi wetu na urithi wa watoto wetu.
Hawa watoto kesho watakwenda kuwa wakimbizi wapi? TISS
Ndugai aliposema CDM mlimganisha kwa mama anaupiga mwingi.Hii nchi iko siku itauzwa tu
Marekani maendeleo yapo. Sisi tumakopa za safari na za kulambia asali.Ni kawaida kijana wala usiogope,marekani wanadaiwa hela kibao kuliko sisi
Mwakani tu hapo uko 2025 ni mbaliMpaka anaondoka 2025 tutakiwa tumepiga mia.
Raia huuzwa kila tunapokopa! Raia ndo dhamana na sensa inawabeba zaidiWatakuambia nchi bado inakopesheka hatuko kwenye red line, juzi kapewa heshima ya uchumi, hadi tunakuja kushtuka watakuwa wamashatuuza hadi sisi wenyewe achilia mbali madini na madeni.
Nimeona hii habari huko tweeter. Mimeshika kichwa.. ndani ya mda mfupi sana awamu ya sita imekopa hadi imevunja record. Mama anaupiga mwingi.
View attachment 2441817
Mm nishaaza kutafuta mtejaMaza anaupiga mwingi hadi unamwagika kudadadeq
Tanzania kuna tiss basi?Kama nchi hii kuna usalama wa Taifa basi ndo muda wao muafaka wa kuchukua hatua na kuliokoa Taifa.
Nchi inateketea mikononi mwao na wao wanaangalia Ila wakumbuke historian itawataja wao kwa kushindwa kutimiza wajibu wao mama/namba moja. Nchi imepoteza mwelekeo, wameingia majangiri na vibaka.
TISS, liokoeni hili Taifa. Msisahau zilitumika nguvu nyingi kuiunda Tanzania na sasa wahuni wanagawana rasilimali za nchi yetu, urithi wetu na urithi wa watoto wetu.
Hawa watoto kesho watakwenda kuwa wakimbizi wapi? TISS