DENZEL OMONDI ambaye kwenye list ambayo walishirki kujipost bungeni huko kenya naye amefariki na kutupwa

DENZEL OMONDI ambaye kwenye list ambayo walishirki kujipost bungeni huko kenya naye amefariki na kutupwa

Naanza kuamini haya maandamano ya Kenya pamoja na yooote yana mkono wa mtu, kilichokua kinasubiriwa ni Ruto ajichanganye na alipoingia king watu wakasukuma kete. , hivyo basi kundi hilo hilo la mitego limeanza kusukuma kete nyingine muhimu katika mipango yao ili ionekane Ruto anaua watu kwa kisasi hapo sasa maandamano yatazidi na lengo lao litazidi kutimiq, jiulize kama Ruto kakubali kutia mpira kwapani kwanini madogo kila kukicha wanazua jipya?
Kama kawaida mtasingizia Kenyatta!! Ni hivi muswada ulikua mbovu na Kama ni kuua Ruto ameua sijui kwanini tunataka kusema kasingiziwa!! Yaani marais waafrika wanafanya ujinga alafu wakichukuliwa hatua wanadai ni hujuma za mabeberu au wapinzani
 
Uendeshaji wa Siasa za kiafrica ni mgumu sana. Lakini inaonekana Gen Z hawajui nini wanataka.
Serikali imeshafanya reforms kwa kila hatua lakini bado hawajalifikia lengo ni kama kuna kitu kinatafutwa.
1. Financial bill haikusainiwa.
2. Cut down government expenditure
3. Vyombo vya dola havitumii nguvu mpaka waandamanaji wanataka kuimba nao hozambe.

Kubwa zaidi kavunja baraza la mawaziri.

Siasa inahitaji akili nyingi sana. Kama hayo yanayofanyika kama anafanya Ruto angewaminya kimyakimya na usipatikane hata mfupa wao. Lakini kuweka wazi hivyo kuna political conspiracy .
 
Walichofanya sio poa ile ni hasara ya mabillion , haya mambo usipenda kujiweka mbele mbele na conscious za kishamba utapotea .


Kuna jamaa walisababisha mgomo na vurugu pale udsm miaka ya 90's mpaka leo vyeti vyao vina alama kila wanapoenda wanashindwa kusoma Masters , sio wote ila wale walijifanya warataibu wa mgomo kwa kukaa mbele.
Acha uoga
 
Mkuu kuondoa Serikali iliyopo madarakani kwa njia ya maandamano sio kazi rahisi, inawezekana lakini sio rahisi hata kidogo.

Na hata kama watafanikiwa kuindoa Serikali ya Ruto madarakani, hao waliokufa wanapata faida gani???

Mimi binafsi sioni faida ya kupoteza uhai kwa kuindoa Serikali. Utaindoa lakini sio wewe wala ndugu zako watakaoingia Ikulu. Watakaoingia ni wengine ambao hata hawakujui. Wakati huo wewe unaoza kaburini.

Ndiyo maana nimeuliza unatoa uhai wako kwenye maandamano kwa faida ya nani????
Hili swala la Kwa faida ya nani ndio limeipa nguvu SERIKAli flani kuwafanyia raia wake lolote wanalotaka huku wala nyasi wakiendelea kula msoto na matozo kila Kona ilihali walio madarakani wanaishi kama wako peponi.
 
Unajua haya mambo ni ya kuwa nayo makini sana. Maana kuna watu wasio wema huwa wanachukua advantage kwenye situation kama hii ili ionekane kwamba ni serikali ndio imemuua. Yaani hiyo serikali ya kenya itakuwa na ujinga kiasi gani eti ikamuue kabisa mtu mwenye public interest
 
Walichofanya sio poa ile ni hasara ya mabillion , haya mambo usipenda kujiweka mbele mbele na conscious za kishamba utapotea .


Kuna jamaa walisababisha mgomo na vurugu pale udsm miaka ya 90's mpaka leo vyeti vyao vina alama kila wanapoenda wanashindwa kusoma Masters , sio wote ila wale walijifanya warataibu wa mgomo kwa kukaa mbele.
Kila mtu akitaka kukaa nyuma matokeo yake ndio kama haya ya kuitwa keyboard warriors. Kila mtu hataki KULIPA gharama ila nataka mabadiliko Kwa hisani. Hilo halipo hisani alipewa Nyerere tu.
 
Siasa inahitaji akili nyingi sana. Kama hayo yanayofanyika kama anafanya Ruto angewaminya kimyakimya na usipatikane hata mfupa wao. Lakini kuweka wazi hivyo kuna political conspiracy
Kuweka wazi ni TISHIO kwa wengine kwamba "mfumo" upo macho na unakubali maandamano ila sio "uhaini" au uvunjifu wa amani.

Ruto messed up na wananchi wamechoka, sio kila kitu mtu katumwa au kalipwa wakati matatizo yapo obvious.
 
Hili swala la Kwa faida ya nani ndio limeipa nguvu SERIKAli flani kuwafanyia raia wake lolote wanalotaka huku wala nyasi wakiendelea kula msoto na matozo kila Kona ilihali walio madarakani wanaishi kama wako peponi.
Mkuu wewe upo tayari kujitoa "muhanga" kwa ajili ya Watanzania?

Ukiwa unaoza kaburini "Wapumbavu" wengine watakuwa IKULU wakifaidi na watoto wao matunda ya wewe kujitoa muhanga ilihali mkeo na watoto wako watakuwa wanaendelea kuteseka na shida zao.

Kwa kulitambua hilo ndiyo maana nikauliza, unatoa uhai wako kwenye maandamano kwa faida ya nani????
 
Mkuu wewe upo tayari kujitoa "muhanga" kwa ajili ya Watanzania?

Ukiwa unaoza kaburini "Wapumbavu" wengine watakuwa IKULU wakifaidi na watoto wao matunda ya wewe kujitoa muhanga ilihali mkeo na watoto wako watakuwa wanaendelea kuteseka na shida zao.

Kwa kulitambua hilo ndiyo maana nikauliza, unatoa uhai wako kwenye maandamano kwa faida ya nani????
Mzee hakuna changes bila sacrifices, sehemu yeyote unapoona mabadiliko huwa yanakuja na gharama thus why hata JPM hayupo leo. He was striving for changes japo hakuishi muda mrefu ila leo hii treni inatembea bwawa la Nyerere limekamilika na tunatembea kwenye 8 lane road inayoamzia Kimara mwisho to Kibaha. Hizo ni faida za mapambano yake japo yeye hayupo ila familia yake inafurahia matunda hayo.
 
Back
Top Bottom