Angalia profile yake , nyuzi zake full comedy halafu comedy serios jinsi matukio anavyopangilia na anavyojibu maswali sometimes unaweza kusema jamaa ni mzima ila anajichetua tu kama Maghayo The Mongo Barbarian.Mim mpaka leo sijaelewa huyo jamaa DON alikuwa anaandikaga vitu vya ajabu ajabu afu watu wakawa wanafatilia nyuzi zake kuliko hata wanavyotembelea nyuzi za GENTAMYCINE
Niliwah mfatilia mpaka youtube maana nilishangaa mimi ni mdau wa mziki iweje tz kuwe na msanii mkubwa afu nisimjue
Eti alitamani awe mwanamkeOngezea Mpwayungu Village nae anahitaji intensive care
Aure mkuu kama sasa hv tunatakiwa tuwasiadie Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah nadhani na wao wanapaitia changamotoJamaa atakuwa ameonewa, alipata changamoto ya afya ya akili, halafu wengi wetu humu tuliona dalili zote lakini tukashindwa namna ya kumsaidia zaidi ya kumdhihaki na kumcheka. Tulikosea sana.
Naunga mkono hoja, wanaJF tufanye namna ya kumpa msaada, kwanza wa kisheria na pili wa matibabu.
Niliwahi kusoma hapa kwamba ni mama wa kamboMama Yake nae alikuwa na lake Jambo tu
actually,Aure mkuu kama sasa hv tunatakiwa tuwasiadie Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah nadhani na wao wanapaitia changamoto
Ishu sio kuuza kitanda tu nimesoma hiyo nakala ya hukumu ya rufaa yake kulikuwa pia na ishu ya jamaa kutaka kumpa talaka mke wake ila mama hataki.Mmmmmmhmn ila familia za kiafrika bwana. Sasa hapo wanagombana kisa kitanda kweli? [emoji23][emoji23][emoji23]
Kama mzazi angetumia tu hekima amuache auze hicho kitanda tuone.
Upande mwingine kijana na yeye alikuwa anafuata nini kwa mama yake na anaona hawana maelewano mazuri hata kidogo?
Muda mwingine ukiona maisha yapo kasi sana just kaa mbali na potential triggers za wendawazimu. Ukiona ukiongea na watu fulani wanakuchanganya then kaa mbali nao.
Ila amefanya makosa kumwita mama mzazi au hata mtu mzima mchawi. Sio jambo zuri kwa maana linafedhehesha.
Jamii haipo informed.Wakuu, kwema?
Nimemkumbuka mwamba Deo Kisandu na namna aliburudisha hapa jukwaani na ikabidi ni Google taarifa zake. Nimekutana na hukumu ya mahakama kuwa alifungwa miaka Saba jela kwa kosa la kumtukana mama yake kuwa ni mchawi baada ya kukatazwa kuuza kitanda alipo kuwa akiishi na mama yake kahama.
Natamani nikamsalimie, naomba mwenye taarifa za magereza aliopo atujuze.
AnaweEti alitamani awe mwanamke
Jamaa anatamani kupigwa paipu.ππππππππππEti alitamani awe mwanamke
mimi pia mwanzo nilihisi anatafuta umaarufu tu,ila ukimfuatilia ana shida kweliAlikua serious kweli ila niliamini dish halipo sawa baada ya kufuta nyimbo na video zake zote YouTube akidai watu wanapiga mabilioni na wanahujumu muvi yake ya boombattack isitoke
NenoHebu wadau humu tumfanyie mpango wamchomoe huko
Humu tunajuwa kuna mawakili
Wazuri tu wanaweza wakajitolea
Ova
"High-key"Mwamba lowkey legend humu
Ukiisoma vizuri hati ya mashitaka na namna alivyokuwa akijibu kweli utatambua huyu jamaa wamekosea hukumu ana mental caseMental case wangempeleka mirembe
Kwenye uzi vita ya Urusi na Ukraine kuna Deo Kisandu Jr anajiita MaonihuruWakuu, kwema?
Nimemkumbuka mwamba Deo Kisandu na namna aliburudisha hapa jukwaani na ikabidi ni Google taarifa zake. Nimekutana na hukumu ya mahakama kuwa alifungwa miaka Saba jela kwa kosa la kumtukana mama yake kuwa ni mchawi baada ya kukatazwa kuuza kitanda alipo kuwa akiishi na mama yake kahama.
Natamani nikamsalimie, naomba mwenye taarifa za magereza aliopo atujuze.