Deo Sanga aomba Rais Magufuli aongezewe muda hata asipotaka


Sijui huyu Deo na mamburula wenzake kama walipata wasaa wa kukusoma:

"Namhakikishia Deo Sanga maarufu Kama Jah People kuwa MUNGU wetu aliye hai ATAINGILIA KATI kudhibiti hizo mbinu zenu za kumfanya Meko awe Rais wa milele."

Heshima kwako mkuu.
 
Anaitwa Juma Nkamia Watu Wa Kondoa Waliona Mbali Wakamtema
Ila mkuu ubunge kama ukijipanga vizur hata ukiukosa njaa inakuwa mbali na wewe.Wanamiezi 3 wapo pale wanalipana posho tu bado mshahara usiopungua milion8.
 
Sijui huyu Deo na mamburula wenzake kama walipata wasaa wa kukusoma:

"Namhakikishia Deo Sanga maarufu Kama Jah People kuwa MUNGU wetu aliye hai ATAINGILIA KATI kudhibiti hizo mbinu zenu za kumfanya Meko awe Rais wa milele."

Heshima kwako mkuu.
Asante Mkuu brazaj, matendo ya Mwendazake yalikuwa na dalili zote kuwa amekengeuka na roho yake ilikuwa mbioni kwenda jehanamu
 

Hatimaye dudu kama lilikusikia vile mkuu.
 

Uliona mbali sana mkuu. Heshima kubwa kwako.
 
Hakowapi sasa yaani watu walifikia hatua ya kujitoa ufahamu kiasi kikubwa namna hii hili ni jana la Taifa
 
Kwann akatae? Haiwezekaniii!!! Atake asitake tutamuongezeaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸🤸
 

Naunga mkono hoja, 5 mingine tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…