Deo Sanga aomba Rais Magufuli aongezewe muda hata asipotaka

Deo Sanga aomba Rais Magufuli aongezewe muda hata asipotaka

"Rais wetu Dkt. Magufuli amefanya kazi kubwa, ombi langu hapa ndani atake asitake tumuongezee muda ili aweze kufanya kazi yake vizuri ili mipango aliyoipanga ikamilike, nilisema kipindi fulani hata China walifanya hivyo si dhambi kumuongezea anayefanya vizuri" - Deo Sanga

#Bungeni

View attachment 1693592


Kumekucha sasa lile bunge la kijani linaanza kazi waliyoipigania .



Haya ndiyo vitu sisi tulikuwa tunazitaka sasa! Hongera sana Bunge letu. JPM is going nowhere. ^We will be back in some form^ ~ Donald Trump.
 
"Rais wetu Dkt. Magufuli amefanya kazi kubwa, ombi langu hapa ndani atake asitake tumuongezee muda ili aweze kufanya kazi yake vizuri ili mipango aliyoipanga ikamilike, nilisema kipindi fulani hata China walifanya hivyo si dhambi kumuongezea anayefanya vizuri" - Deo Sanga

#Bungeni

View attachment 1693592


Kumekucha sasa lile bunge la kijani linaanza kazi waliyoipigania .
Covid haijaona msosi wake huu hapa?.
 
 
Haya maneno ya kulishwa. Hivo munamuona MAGU ni mzuri sana?. Haya makampuni yenye kupewa kandarasi ya kujenga majumba na barabara munajuwa ni ya nani. Munajuwa waziri wa fdha ni nani na kawekwa hapo kwa nini. ?. Nyimbo musiojiuwa munaichezea nini?. Au ni mdundiko ndio munao furahia?.
 
Jiwe kapora kura za wapinzani na ndani ya ccm aliwakata wabunge wenye akili (mfano akina Adadi Rajabu, Andrew Chenge, Maganga Ngeleja, n.k) akapitisha wenye mtindio wa ubongo ili wapitishe maazimio ya kumbakisha madarakani.

Kwahiyo huu ujinga tulisha ufahamu tangu wakati wa mchakato wa kukata majina ya wagombea na kupora kura za wapinzani.
Chenge huyuhuyu wa kashifa ya vijisenti na uozo wa Trl ama unamsema Chenge mwingine nisiyemjua mimi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MBUNGE WA MAKAMBAKO AT
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais.

Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo aweze kuikamilisha.

Ameomba aongezewe muda hata kama asipotaka. Amesema hata China waliwahi kufanya hivyo kipindi fulani katika historia.
Kwa hiyo kashindwa kusema kero au matatizo ya wananchi wake anatuletea Mambo ya ajabu ajabu

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Eti “hata asipotaka”. Huyu hata akitamani, hatuwezi kusigina Katiba yetu ili kumuaccomodate mtu mmoja. Ni fedheha kufikiri kwamba kati ya Watanzania 58M+, ni Jiwe tu anayeweza kutuongoza

Lakini huu upuuzi upo hata kwenye vyama vyetu vya siasa.
 
MBUNGE WA MAKAMBAKO AT
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais.

Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo aweze kuikamilisha.

Ameomba aongezewe muda hata kama asipotaka. Amesema hata China waliwahi kufanya hivyo kipindi fulani katika historia.

The new version of Juma Nkamia and Ali Kesi
 
MBUNGE WA MAKAMBAKO AT
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais.

Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo aweze kuikamilisha.

Ameomba aongezewe muda hata kama asipotaka. Amesema hata China waliwahi kufanya hivyo kipindi fulani katika historia.
Hawa ndio mabunge ambayo hayajashinda kwa kura yaliiba na haya mak. Yapo awamu zote
 
Kwanza huyo aliyeongea akapimwe Kwanza huwenda anashida fulani kwasababu yeye anashiba mwili MKUBWAAA???????
 
Back
Top Bottom