Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Kikwete asingeondok huyo meko wao angekuwa raid?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa jinsi bunge lilivyo sahv lazima ipite hiyooNilikuwa nawa"mark" wabunge wa 2020 2025 waliotoa kauli hiyo huyu wa pili , wa kwanza alikuwa Katambi
Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Hapana Mkuu. Mzee Magu anapenda madaraka kuliko hata uhai wake mwenyewe. Fuatilia matamshi na mwenendo wake.kuna kitu inachezwa hapa. wanaogopa asipoki rais ajaye anaweza kuja na team mpya.
ili ku secure vyeo vyao lazima watembelee nyota ya mzee.
Ukifuatilia wabunge woote wanao ongea huo upuuzi ni wale wasiyo na Elimu.MBUNGE WA MAKAMBAKO AT
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais.
Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo aweze kuikamilisha.
Ameomba aongezewe muda hata kama asipotaka. Amesema hata China waliwahi kufanya hivyo kipindi fulani katika historia.
Kwa sasa ni sawa na vikao vya halmashauri kuu ya ccm"Rais wetu Dkt. Magufuli amefanya kazi kubwa, ombi langu hapa ndani atake asitake tumuongezee muda ili aweze kufanya kazi yake vizuri ili mipango aliyoipanga ikamilike, nilisema kipindi fulani hata China walifanya hivyo si dhambi kumuongezea anayefanya vizuri" - Deo Sanga
#Bungeni
View attachment 1693592
Kumekucha sasa lile bunge la kijani linaanza kazi waliyoipigania .
Alafu fuatilia wote hao hata kuandika majina yao hawaweziAlly Kessy Ndiyo Kamuachia Majukumu Hayo
Mambo Ya Ccm Ni Magumu Yanatia Kinyaa!![emoji57][emoji57]
Usishangae wakalipitisha maana hata mzee wa kutembeza bakora alisha libalikiWameanza tena na upumbavu wao!
MBUNGE WA MAKAMBAKO AT
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais.
Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo aweze kuikamilisha.
Ameomba aongezewe muda hata kama asipotaka. Amesema hata China waliwahi kufanya hivyo kipindi fulani katika historia.
Wameanza tena na upumbavu wao!
Na ndicho alichokuwa anakitaka mfalme"Rais wetu Dkt. Magufuli amefanya kazi kubwa, ombi langu hapa ndani atake asitake tumuongezee muda ili aweze kufanya kazi yake vizuri ili mipango aliyoipanga ikamilike, nilisema kipindi fulani hata China walifanya hivyo si dhambi kumuongezea anayefanya vizuri" - Deo Sanga
#Bungeni
View attachment 1693592
Kumekucha sasa lile bunge la kijani linaanza kazi waliyoipigania .
Ndiyo mpango wao maana hata m7 alianza hivi hiviHizi mbiu za rais kubakia madarakani si za kubeza.
Cha ajabu ana limwili kubwa alafu upstairs . . . . . . .
Hawa ni wale watu ambao uvico 19 anawapenda sana.Cha ajabu ana limwili kubwa alafu upstairs . . . . . . .