Deo Sanga aomba Rais Magufuli aongezewe muda hata asipotaka

Deo Sanga aomba Rais Magufuli aongezewe muda hata asipotaka

10 inamtosha japo tunaenda nayo kwa maumivu kwani watu wameisha wakushika madaraka?
 
Duuu kumekucha,hapa sound bado haijafunguliwa mpaka mwisho, ifikapo mwakani tarajieni sauti za mambo kama haya kutokea kila pembe na zenye muungurumo mkali na Wa juu sana. Mwaka keshokutwa tunarudisha mpira kwa raia kisha inachukuliwa inawekwa WAAAAH!!
 
MBUNGE WA MAKAMBAKO AT
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais.

Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo aweze kuikamilisha.

Ameomba aongezewe muda hata kama asipotaka. Amesema hata China waliwahi kufanya hivyo kipindi fulani katika historia.
Ukifuatilia wabunge woote wanao ongea huo upuuzi ni wale wasiyo na Elimu.

Hapo ndiyo ukomo wao wa kufikiria maana kitu katiba kichwani mwao hakipo
 
"Rais wetu Dkt. Magufuli amefanya kazi kubwa, ombi langu hapa ndani atake asitake tumuongezee muda ili aweze kufanya kazi yake vizuri ili mipango aliyoipanga ikamilike, nilisema kipindi fulani hata China walifanya hivyo si dhambi kumuongezea anayefanya vizuri" - Deo Sanga

#Bungeni

View attachment 1693592


Kumekucha sasa lile bunge la kijani linaanza kazi waliyoipigania .
Kwa sasa ni sawa na vikao vya halmashauri kuu ya ccm
 
Ally Kessy Ndiyo Kamuachia Majukumu Hayo
Mambo Ya Ccm Ni Magumu Yanatia Kinyaa!![emoji57][emoji57]
Alafu fuatilia wote hao hata kuandika majina yao hawawezi
 
Haya na tumwite mfalme
MBUNGE WA MAKAMBAKO AT
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais.

Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo aweze kuikamilisha.

Ameomba aongezewe muda hata kama asipotaka. Amesema hata China waliwahi kufanya hivyo kipindi fulani katika historia.
 
"Rais wetu Dkt. Magufuli amefanya kazi kubwa, ombi langu hapa ndani atake asitake tumuongezee muda ili aweze kufanya kazi yake vizuri ili mipango aliyoipanga ikamilike, nilisema kipindi fulani hata China walifanya hivyo si dhambi kumuongezea anayefanya vizuri" - Deo Sanga

#Bungeni

View attachment 1693592


Kumekucha sasa lile bunge la kijani linaanza kazi waliyoipigania .
Na ndicho alichokuwa anakitaka mfalme
 
Back
Top Bottom