msweety
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 667
- 1,556
Mbona wewe aliyekutwanga Mimba kakutelekeza husemi. Lissu sio size yako fa.ala wewe.Ila lisu ana gundu sana,
Kaifyekelea mbali TLS na Chadema hivyo hivyo,
Kaenda kujituliza zake Belgium.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wewe aliyekutwanga Mimba kakutelekeza husemi. Lissu sio size yako fa.ala wewe.Ila lisu ana gundu sana,
Kaifyekelea mbali TLS na Chadema hivyo hivyo,
Kaenda kujituliza zake Belgium.
Hii hoja si ya bahati mbaya ni jambo lililopangwa kwa mikakati madhubuti ambapo muda wake ukifika hakuna wa kulipinga, litaanza kama mzaha lakini wapiga zumari wataongezeka kila nyakati mpaka lionekane lina uhalisia wa mahitaji kumbe umugabe unaingia taratibuMBUNGE WA MAKAMBAKO AT
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais.
Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo aweze kuikamilisha.
Ameomba aongezewe muda hata kama asipotaka. Amesema hata China waliwahi kufanya hivyo kipindi fulani katika historia.
Kumjadili Deo Sanga hata kwakumuita mjinga ni kumpaisha tu. Ni pia umkijadili Deo Sanga ni dalili ya kukosa akili na kazi. Dawa ni kumpuuza tu.Huyu mjinga sana,
Ndicho alitumwa na wapiga kura wake!
Sijui kala maharage ya wapi huyu.
Absolutely. Mwinyi alishasema huo muda ni wa shukurani."Rais wetu Dkt. Magufuli amefanya kazi kubwa, ombi langu hapa ndani atake asitake tumuongezee muda ili aweze kufanya kazi yake vizuri ili mipango aliyoipanga ikamilike, nilisema kipindi fulani hata China walifanya hivyo si dhambi kumuongezea anayefanya vizuri" - Deo Sanga
#Bungeni
View attachment 1693592
Kumekucha sasa lile bunge la kijani linaanza kazi waliyoipigania .
Tehe tehe,Mbona wewe aliyekutwanga Mimba kakutelekeza husemi. Lissu sio size yako fa.ala wewe.
Faida ya kupita bila kupingwa.MBUNGE WA MAKAMBAKO AT
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais.
Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo aweze kuikamilisha.
Ameomba aongezewe muda hata kama asipotaka. Amesema hata China waliwahi kufanya hivyo kipindi fulani katika historia.
Hivi kwani vinavyo fanyika havipo au Vipo na je impact hasi au chanya tunayopata nchini?Haya maneno ya kulishwa. Hivo munamuona MAGU ni mzuri sana?. Haya makampuni yenye kupewa kandarasi ya kujenga majumba na barabara munajuwa ni ya nani. Munajuwa waziri wa fdha ni nani na kawekwa hapo kwa nini. ?. Nyimbo musiojiuwa munaichezea nini?. Au ni mdundiko ndio munao furahia?.
15 tenaWale wa mitano tena [emoji2772]sasa hivi tuweke kauli mbiu gani jamani[emoji849][emoji849]
Miaka yote hiyo alipatikana nani alieweza kuleta mabadiliko kama ya huyu mjomba?Eti “hata asipotaka”. Huyu hata akitamani, hatuwezi kusigina Katiba yetu ili kumuaccomodate mtu mmoja. Ni fedheha kufikiri mwamba kati ya Watanzania 58M+, ni Jiwe tu anayeweza kutuongoza
Lakini huu upuuzi upo hata kwenye vyama vyetu vya siasa.
Hakuna Aliye msafi hata wewe unauchafu wako mkuu.Kwani jiwe ndiyo msafi? Mbona alimhonga hawara yake nyumba ya serikali hamsemi?
Miaka ipi unaongelea? Umezaliwa late 90s au?Miaka yote hiyo alipatikana nani alieweza kuleta mabadiliko kama ya huyu mjomba?