Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
"Rais wetu Dkt. Magufuli amefanya kazi kubwa, ombi langu hapa ndani atake asitake tumuongezee muda ili aweze kufanya kazi yake vizuri ili mipango aliyoipanga ikamilike, nilisema kipindi fulani hata China walifanya hivyo si dhambi kumuongezea anayefanya vizuri" - Deo Sanga
#Bungeni
View attachment 1693592
Kumekucha sasa lile bunge la kijani linaanza kazi waliyoipigania .
Covid haijaona msosi wake huu hapa?."Rais wetu Dkt. Magufuli amefanya kazi kubwa, ombi langu hapa ndani atake asitake tumuongezee muda ili aweze kufanya kazi yake vizuri ili mipango aliyoipanga ikamilike, nilisema kipindi fulani hata China walifanya hivyo si dhambi kumuongezea anayefanya vizuri" - Deo Sanga
#Bungeni
View attachment 1693592
Kumekucha sasa lile bunge la kijani linaanza kazi waliyoipigania .
Chenge huyuhuyu wa kashifa ya vijisenti na uozo wa Trl ama unamsema Chenge mwingine nisiyemjua mimi?Jiwe kapora kura za wapinzani na ndani ya ccm aliwakata wabunge wenye akili (mfano akina Adadi Rajabu, Andrew Chenge, Maganga Ngeleja, n.k) akapitisha wenye mtindio wa ubongo ili wapitishe maazimio ya kumbakisha madarakani.
Kwahiyo huu ujinga tulisha ufahamu tangu wakati wa mchakato wa kukata majina ya wagombea na kupora kura za wapinzani.
Nilikuwa nawa"mark" wabunge wa 2020 2025 waliotoa kauli hiyo huyu wa pili , wa kwanza alikuwa KatambiHii issue inaibukaga inapotea naona imerudi tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Kwa hiyo kashindwa kusema kero au matatizo ya wananchi wake anatuletea Mambo ya ajabu ajabuMBUNGE WA MAKAMBAKO AT
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais.
Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo aweze kuikamilisha.
Ameomba aongezewe muda hata kama asipotaka. Amesema hata China waliwahi kufanya hivyo kipindi fulani katika historia.
Kwani jiwe ndiyo msafi? Mbona alimhonga hawara yake nyumba ya serikali hamsemi?Chenge huyuhuyu wa kashifa ya vijisenti na uozo wa Trl ama unamsema Chenge mwingine nisiyemjua mimi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio imeanza, ni kwamba inaendelea.Mipango haramu imeanza!
Hilo liko wazi na Mratibu Mkuu ni yeye mwenyewe anaepiganiwa.Mipango haramu imeanza!
MBUNGE WA MAKAMBAKO AT
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais.
Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo aweze kuikamilisha.
Ameomba aongezewe muda hata kama asipotaka. Amesema hata China waliwahi kufanya hivyo kipindi fulani katika historia.
Hawa ndio mabunge ambayo hayajashinda kwa kura yaliiba na haya mak. Yapo awamu zoteMBUNGE WA MAKAMBAKO AT
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais.
Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo aweze kuikamilisha.
Ameomba aongezewe muda hata kama asipotaka. Amesema hata China waliwahi kufanya hivyo kipindi fulani katika historia.