Mmeanza lawama .. Huyo Wlider hata game ya kwanza alipigwa sema alibebwa ikawa draw...Dah boxing ina maajabu kweli. Sijui wamempoison mshikaji. Yaani kazidiwa round zote mwanzo mwisho. Kama sio yeye, yaani harushi hata ngumi za maana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja tulitafute
ππππ Sasa wivu umetokea wapi wakati mtu kapewa kichapo cha ambulance umekurupuka ww ππππ
Nasema hivi ni wivu tu! Ukute wewe hujui hata kukunja ngumi![emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] sasa wivu umetokea wapi wakati mtu kapewa kichapo cha ambulance umekurupuka ww [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ule ni mchezo tu man kazidiwa kama mabondia wengine tu.
Nikishajua kukunja ngumi itanisaidia nn mm! napenda peaceful life na wala sina maadui wa kukunja ngumi mm wala huo muda sinaga wa kushikana shikana na watu.
Duh...ila kichapo kakipata kweli.... π πView attachment 1367039
Anachonga sana , wakati ni bondia wa kawaida sana , halafu hana adabu .
Ana bahati sana refa kamuokoa angeachwa hadi round ya 8 angekufa kudadeki zake !
Bado kimbelembele mwingine anaitwa Antony Joshua , siku zake zinahesabika .
Ndio anaenda kufanya Party Hosptalini ......πAmewahishwa hospital baada ya kipigo. Alichonga kuwa baada ya pambano kutakuwa na party
Hizo ngumi wanazocheza hao sio vita, ni mchezo halali tu!Nikishajua kukunja ngumi itanisaidia nn mm! napenda peaceful life na wala sina maadui wa kukunja ngumi mm wala huo muda sinaga wa kushikana shikana na watu.
Sasa kuna uhusiano gani wa mm wa kujua kukunja ngumi?