The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Stoicism ni kitu imenisaidia sana kukubaliana na mitihani mingi migumu ya maisha.Pambana mkuu
Mi huwa nawasikiliza wale stoicism basi wakiniita warrior najiona warrior kweli kumbe hamna kitu nasonga mbele
Pole sana hope utafanikiwa kushinda hali hiyo
Tujitahidi kuwaambia wengine namna ya Kutumia ni nzuri sanaStoicism ni kitu imenisaidia sana kukubaliana na mitihani mingi migumu ya maisha.
Wanasema Obstacle is the way.
Mwenyezi Mungu Akulinde na akubariki zaidi na zaidi, pia akusamehe pale ulipokosea. Hakika wewe bila shaka unaonekana ni mtu mwema, ni watu wachache sana wenye kufariji wenzao kwa maneno mazuri yenye kutia moyo na kuwaonesha mwanga maishani kwamba katika hali yoyote ile haujawa mwisho wa maisha.Pole sana Mkuu Kuna mambo mengi yako nyuma ya hiyo Depression.
Depression sio ugonjwa bali matokeonya jambo fulani ktk maisha yako.
Hayo hujayataja. Unahitaji Mtaalam atakayekupa muda wake mkazungumza kwa kina na kirefu zaidi.
Njoo Dar es salaam kutana na Wataalam wa afya ya akili.
Nenda kwa Dr Likindikoki pale Muhimbili au wengine.
Tunakuhitaji kama Taifa, we ni wa muhimi sana kwa Familia yako na jamii pia
Mwenyezi Mungu Akulinde na akubariki zaidi na zaidi, pia akusamehe pale ulipokosea. Hakika wewe bila shaka unaonekana ni mtu mwema, ni watu wachache sana wenye kufariji wenzao kwa maneno mazuri yenye kutia moyo na kuwaonesha mwanga maishani kwamba katika hali yoyote ile haujawa mwisho wa maisha.Weka namba yako ya simu au E-mail then nitakupigia simu na kukutafutia wataalamu Kwa gharama zangu mwenyewe .
Usjiue mkuu.
Tangu 2019 mpaka sasa nasumbuka na msongo mkali wa mawazo, uoga ulipitiliza, panic attack, yaani nimekuwa kama mfu anaetembea, nilienda hospitali ya Mount Meru Arusha wakaniambia ni psychosis, wakanipa Haloperidol na Benzylhexol nikaanza kutumia ila zilinisaidia kwa wiki chache baada ya hapo hali ikawa mbaya zaidi ya mwanzo na nikawa nikitumia kichwa kinakuwa chepesi kupita kiasi kama nimelewa.
Nikaamua kuacha zile dawa kwa sasa naona sina muda mrefu wa kuishi, imechoka sana
Hivi meditation inafanywaje?Pole. Fanya meditation itakusaidia sana
Piga nyapi depresion itaondokaTangu 2019 mpaka sasa nasumbuka na msongo mkali wa mawazo, uoga ulipitiliza, panic attack, yaani nimekuwa kama mfu anaetembea, nilienda hospitali ya Mount Meru Arusha wakaniambia ni psychosis, wakanipa Haloperidol na Benzylhexol nikaanza kutumia ila zilinisaidia kwa wiki chache baada ya hapo hali ikawa mbaya zaidi ya mwanzo na nikawa nikitumia kichwa kinakuwa chepesi kupita kiasi kama nimelewa.
Nikaamua kuacha zile dawa kwa sasa naona sina muda mrefu wa kuishi, imechoka sana
Mimi huwa nasema sana humu bangi iliokoa maisha yangu lakini watu hawachukulii seriousSina uhakika ila nadhan kufanya mazoezi na kuanza kutumia bangi kunaweza kukusaidia. Wenye experience on this, naskia bangi inawafanya watu waondokwe na msongo wa mawazo, kupotezea vitu na kupata solution kwenye nyakati ngumu. Just a thought though, don't take me serious
Tatizo haliwezi kutatuliwa bila kutibu chanzo. Kumbuka uhai ni muhimu kuliko kitu chochote.Tangu 2019 mpaka sasa nasumbuka na msongo mkali wa mawazo, uoga ulipitiliza, panic attack, yaani nimekuwa kama mfu anaetembea, nilienda hospitali ya Mount Meru Arusha wakaniambia ni psychosis, wakanipa Haloperidol na Benzylhexol nikaanza kutumia ila zilinisaidia kwa wiki chache baada ya hapo hali ikawa mbaya zaidi ya mwanzo na nikawa nikitumia kichwa kinakuwa chepesi kupita kiasi kama nimelewa.
Nikaamua kuacha zile dawa kwa sasa naona sina muda mrefu wa kuishi, imechoka sana
Tangu 2019 mpaka sasa nasumbuka na msongo mkali wa mawazo, uoga ulipitiliza, panic attack, yaani nimekuwa kama mfu anaetembea, nilienda hospitali ya Mount Meru Arusha wakaniambia ni psychosis, wakanipa Haloperidol na Benzylhexol nikaanza kutumia ila zilinisaidia kwa wiki chache baada ya hapo hali ikawa mbaya zaidi ya mwanzo na nikawa nikitumia kichwa kinakuwa chepesi kupita kiasi kama nimelewa.
Nikaamua kuacha zile dawa kwa sasa naona sina muda mrefu wa kuishi, imechoka sana
Meditation inaleta suluhu ya kudumu ya suala lake..Tatizo la meditation ni kupata mtu wa kukuelekeza namna exactly inavyo fanyika..kazi ipo hapo.Pole. Fanya meditation itakusaidia sana