Dereva Mzembe asababisha vifo vya watu 10 baada ya lori kusombwa na maji kwenye mto uliofurika

Dereva Mzembe asababisha vifo vya watu 10 baada ya lori kusombwa na maji kwenye mto uliofurika

Ingekuwa ni Tanzania haki ya Mungu huyu Dereva wa hili Lori ningegawana nae Majengo ya Serikali kwani ni mpumbavu sijapata kuona.

Yaani anaona kabisa mto umefurika na watu wa pande zote mbili wanamuonya asilipitishe lori lake ambalo pia lilikuwa limebeba nadhani mchanga na matofali ila kwa ujeuri wake akaendelea kutaka Kuvuka na hatimaye lori Kusombwa.

Inasikitisha na inakera mno tu.

View attachment 2975159
Mbona nasikia kama lugha ya kiswahili hapo. Hayo maji mbona ya kawaida sana. Kama kalitumbukiza kwa makusudi !!!!
 
Sababu ninayoiona mimi hapa ni tofauti na hii uliyoandika, hilo lorry kutembea juu ya mchanga wa mtoni ndio sababu yake kuanguka na kuzama.

Kwasababu licha ya uzito wa lorry, lakini kawaida nature ya mchanga haiwezi kuhimili kitu kizito { mchanga unamomonyoka kirahisi} hivyo tairi za lorry zikakosa balance zilizohitaji chini ya maji ili ziendelee kujishika chini na lorry kuendelea na safari, ndio maana lorry likasogezwa mpaka kwenye kingo ya mto na hatimaye kuanguka.

■ Hapa ni sawa na wewe ukiwa unazama mahali, lazima utafute kitu chenye kuendana na uzito wako ili kikupe support usichukuliwe na maji, lakini ukijishika kwenye kitu kisicho na uzito sawa na wako, lazima utazama.

Sababu uliyoitoa wewe ningeiamini endapo hilo lorry lingekuwa linatembea juu ya barabara ya lami pamoja na huo uzito wake, kisha nione kama lingezama, au kama unao huo mfano niwekee hapa niuone.
Unaeleweshwa lakini bado unang'ang'ana
 
Mbona nasikia kama lugha ya kiswahili hapo. Hayo maji mbona ya kawaida sana. Kama kalitumbukiza kwa makusudi !!!!
Acha / Acheni wafe tu kwani ni Kifo cha Kujitakia kutokana na Upumbavu wetu wa Asili Sisi Miafrika. Sijui nani Aliyeturoga.
 
Maji sijui yana siri gani, lorry pekee ni zito, ukiongeza na mchanga uliopakiwa maana yake uzito wa lorry unaongezeka, lakini ajabu maji yamelisomba...
Tyre zinaupepo so huwa zinanyanyuliwa ili gari lielee bahati mbaya mlunakuta mzigo haujabalance linayumbishwaa..
 
Africa kila kitu tunapenda kujaribu hata vile vitu vya hatari likishatokea ndiyo tunajilaumu (sisi wenyewe watendaji).

Kama hao hapo kitu ni hatari na wanajua ni hatari,lakini ngoja tujaribu,katikati ya kujaribu yanatokea majaribu wanaanza kujilaumu ”ningejua ningeacha niende kesho,kwanini sikwenda kulala kwa fulani na aliniambia nikakataa,ningejua ningesubiri yapungue” na mengineyo wakati huo roho zikiacha miili.
 
Maji sijui yana siri gani, lorry pekee ni zito, ukiongeza na mchanga uliopakiwa maana yake uzito wa lorry unaongezeka, lakini ajabu maji yamelisomba...
Gari linaelea kwasababu ya upepo wa kwenye tairi. Hio ndo sababu kuu ya gari kusombwa na maji.
 
Africa kila kitu tunapenda kujaribu hata vile vitu vya hatari likishatokea ndiyo tunajilaumu (sisi wenyewe watendaji).

Kama hao hapo kitu ni hatari na wanajua ni hatari,lakini ngoja tujaribu,katikati ya kujaribu yanatokea majaribu wanaanza kujilaumu ”ningejua ningeacha niende kesho,kwanini sikwenda kulala kwa fulani na aliniambia nikakataa,ningejua ningesubiri yapungue” na mengineyo wakati huo roho zikiacha miili.
Acha wafe / tufe tu Mkuu kwani Waafrika hatujawahi Kumiliki Akili katika Mibichwa yetu na tunachojua ni Kurogana tu basi.
 
Marehemu asemwi vibaya kaka.
Mimi nawasema vibaya Mkuu na hata siwaonei Huruma. Unachokifanya Wewe hapa ni Unafiki na hii ndiyo imekuwa Dhambi kuu kwa Sisi Miafrika kiasi kwamba ndiyo maana hadi leo hii tuko tuko hata baadhi ya Wanyama wanatuzidi Akili. Yaani unaona kabisa mnaenda Kufa Kizembe halafu unataka Wakifa tuwe na Ustaarabu katika Kuwasemea? Siyo Kwangu Mimi GENTAMYCINE. Wote waliozama, kufa na kupona ni FOOLS nimemaliza.
 
Mimi nawasema vibaya Mkuu na hata siwaonei Huruma. Unachokifanya Wewe hapa ni Unafiki na hii ndiyo imekuwa Dhambi kuu kwa Sisi Miafrika kiasi kwamba ndiyo maana hadi leo hii tuko tuko hata baadhi ya Wanyama wanatuzidi Akili. Yaani unaona kabisa mnaenda Kufa Kizembe halafu unataka Wakifa tuwe na Ustaarabu katika Kuwasemea? Siyo Kwangu Mimi GENTAMYCINE. Wote waliozama, kufa na kupona ni FOOLS nimemaliza.
by the way waliopanda gari ni wapumbavu sana bhana tena kuliko hata dereva😀
 
Ingekuwa ni Tanzania haki ya Mungu huyu Dereva wa hili Lori ningegawana nae Majengo ya Serikali kwani ni mpumbavu sijapata kuona.

Yaani anaona kabisa mto umefurika na watu wa pande zote mbili wanamuonya asilipitishe lori lake ambalo pia lilikuwa limebeba nadhani mchanga na matofali ila kwa ujeuri wake akaendelea kutaka Kuvuka na hatimaye lori Kusombwa.

Inasikitisha na inakera mno tu.
sasa na raia kwa nini waliamua kuendelea na safari ijapokuwa wamesikia wenzao wakiwaonya? Na sisi pia tutumie akili kidogo, mtu asiwaze tu kuwa anataka kuwahi safari.
 
Acheni kila Kitu kutupia tu lawama Mamlaka / Serikali sawa? Kwahiyo ukiambiwa kuwa Demu fulani ana UKIMWI na Usimkaze Wewe utataka hadi Waziri wa Afya / Rais wa Nchi aje Chumbani Kwako Ghettoni akuzuie Usimbandue huyo Demu? Siku zingine jitahidi ujue Kufikiri vyema kwani kwa leo Umechemsha mno Kifikra hapa.
Demu hahusiki na mambo haya ya corporate constructive manslaughter Poti... nachojiuliza, hapo kwenye mafuriko, ni nani kiongozi wao aliyeruhusu barabara kutumika kwa hali ilivyokuwa? siilau serikali kuu kwa sababu moja tu- tuna devolved admistration Tanzania nzima hata na visiwani, yaani serikali kuu na serikali za mitaa.sasa huyo mkuu wa serikali za mtaa huo analo la kujibu na ikiwezekana awajibike kwa vifo vilivyo tokea hapo kama kweli vipo. Bado sijachemsha labda kama utaeleza uelewa wako kuhusu hiloneno la constructive manslaughter/ liability na au devolved admistration. Haya sio mambo ya jumla jumla Poti.
msome huyu poti mwenzako ujue: CORPORATE CRIMINAL LIABILITY IN TANZANIA
 
sasa na raia kwa nini waliamua kuendelea na safari ijapokuwa wamesikia wenzao wakiwaonya? Na sisi pia tutumie akili kidogo, mtu asiwaze tu kuwa anataka kuwahi safari.
Acheni Wafe hakuna namna. Huna sina Huruma hata Kidogo kwa Watu Wapumbavu na nashangaa kuona wapo Wanaohuzunika nao.
 
Yaani anaona kabisa mto umefurika na watu wa pande zote mbili wanamuonya asilipitishe lori lake ambalo pia lilikuwa limebeba nadhani mchanga na matofali ila kwa ujeuri wake akaendelea kutaka Kuvuka na hatimaye lori Kusombwa.
Umepofushwa na matokeo tu

Maana angewavusha hapa uzi ungekuwa DEREVA JASIRI AFANIKIWA KUWAVUSHA WATU WAENDELEE NA MAJUKUMU YAO.

Na kiukweli huyo dereva ni jasiri sana
 
Back
Top Bottom